Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar laanza mazoezi ya utayari kukabiliana na maandamano na wavunjifu wa amani

Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar laanza mazoezi ya utayari kukabiliana na maandamano na wavunjifu wa amani

ICC mbali tutatangulizana ahera kwanza maana kuna wajinga wajiona wana haki ya kuumiza na kuua wengine wanasahau hata wao wanawezakudedishwa mda na saa yeyote JIANDAENI MWAKA HUU HATUTANII
Mkwara Mbuzi huo, ubabe kwa keyboard tu hamna jeuri ya kuingia road maana mtagongwa tu japo mnapenda Kugongwa!!
 
Mmawia, Mkuu hayo ni mazoezi ya vitendo ya kuiba kura za Wanzabari. CCM ilipofikia kisiasa ni aibu tupu, ijapokuwa wanatambua kwa uwazi kabisa kuwa hawakubaliki mbele ya wananchi, silaha pekee iliyobakia kwao ni kubaka tu demokrasia kupitia matendo ya kiharamia ya vyombo vya dola.
 
Mkuu hayo ni mazoezi ya vitendo ya kuiba kura za Wanzabari. CCM ilipofikia kisiasa ni aibu tupu, ijapokuwa wanatambua kwa uwazi kabisa kuwa hawakubaliki mbele ya wananchi, silaha pekee iliyobakia kwao ni kubaka tu demokrasia kupitia matendo ya kiharamia ya vyombo vya dola.
Wajiandae kuwa wageni wa bi Fatou Bensouda pale the Hague icc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safari hii vyombo vya dola watashindwa vibaya kama kutatokea vurugu mbinu zao zote za vurugu na makambi watakao fikia zinavuja mapema kabla ya tukio na vurugu nafikiri zitatokea usiku busara itumike kwa vyombo vya dola
 
Hahahaha nilivyomuona kwenye ile clip anamsifia binti yake kuwa ni mzuri nikajua hapa kuna shida kwa huyu Mzee
Hivi polisi wamesahau wajibu wao?
Si nyinyi munalinda usalam wa raia?
Mbona muna wakamia kupambana nao sasa?
Polisi si jeshi lakulinda watawala,
Baliikitokea watawala wanawakosea raia, na raia wakaamua kpaza sauti zao kwa njia za amani buila ya fujo polisi inabidi wawalinde raia hawa aili waonane na watawala ,
Watawalawetu wa Afrika wanajifanya Mafarao,Hawataki kukosolewa wala kuambiwa kitu, wao wantaka wasifiwe tuu.
Polisi nyinyi ni walinzi wetu sisi raia.
TAMBUENI WAJIBU WENU NA MUUTIMIZE.
HIYO MISHAHARA MUNAYOLIPWA SI MALI YA WATAWALA, NI KODO ZETU SISI RAIA.
 
Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.

Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.

Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.

Tanzania bila CCM inawezekana.
 

Attachments

  • lissu muungano.mp4
    5.4 MB
Ole wao wathubutu kuiba kura watajua kuwa hakuna cha polisi,, usalama wala jeshi!

Nnarudia tena, ole wao wathubutu kuiba kura!

Tutawafanya kitu hawatakaa wasahau! Mmoja baada yamwingine
waache watuue katu tutapambana nao to the last drop of blood . Maji watayaita mmmaaaaaaaaaaaaaaaa. shenzi
 
Mmawia, Mkuu hayo ni mazoezi ya vitendo ya kuiba kura za Wanzabari. CCM ilipofikia kisiasa ni aibu tupu, ijapokuwa wanatambua kwa uwazi kabisa kuwa hawakubaliki mbele ya wananchi, silaha pekee iliyobakia kwao ni kubaka tu demokrasia kupitia matendo ya kiharamia ya vyombo vya dola.

Mimi naona kutuletea askari pemba ni kutokujiamini kwa polisi. tutaandamana kwa amani kbs lakn wakitujaribu hawatoki hao askari watatamani waondoke pemba na kurudi walikotoka siku hiyo haiyo. Salamu zimfikie Siro na wote watakaohusika na kadhia hii.
 
Safari hii vyombo vya dola watashindwa vibaya kama kutatokea vurugu mbinu zao zote za vurugu na makambi watakao fikia zinavuja mapema kabla ya tukio na vurugu nafikiri zitatokea usiku busara itumike kwa vyombo vya dola

Waache waje. Tunawasibiri
 
Mbona hawasemi makosa ya kujaza form , nimeambiwa unatakiwa uanze na jina la kati na siyo la kwanza? ufafanuzi kwa raia.
 
Hivi sirro anajua kwamba zanzibar waislamu ni wengi, na waislamu waamini kufa ukipigania haki ni ibada na unaenda peponi??? Hawaogopi kufa hao viumbe......
 
Back
Top Bottom