Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Yeye ndio mkuu wa hizi kazi akisema kitu kinakuwaImewezekanaje?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio mkuu wa hizi kazi akisema kitu kinakuwaImewezekanaje?!
Kosa lao nini? Huyu rais wa sasa ndo kaikataa EAC na sio hii tuu hata AU haitaki ndio maana katika mkutano wa Daslam walimtoa mwakilishi wa AU njee ya mkutano.DRC walifanya kosa kubwa sana kuingia EAC. Wakiweza wajitoe mara moja.
Siwezi kuamini hadi uweke ushahidi wa habari yako.Yeye ndio mkuu wa hizi kazi akisema kitu kinakuwa
Anaingiaje EAC ambako Rwanda na Uganda wanaiandama nchi yake miaka nenda rudi. Kuingia kwake EAC kumefanya hata SADC wanaomsaidiaga washindwe pa kuanzia. Kosa kubwa kwa wacongo kuingia EAC.Kosa lao nini? Huyu rais wa sasa ndo kaikataa EAC na sio hii tuu hata AU haitaki ndio maana katika mkutano wa Daslam walimtoa mwakilishi wa AU njee ya mkutano.
Kalagabaho 🤣Siwezi kuamini hadi uweke ushahidi wa habari yako.