Jeshi la Ukraine lakomboa Snake Island kwa kulishambulia vikali jeshi la Urusi na kukichu tena kisiwa hicho

Jeshi la Ukraine lakomboa Snake Island kwa kulishambulia vikali jeshi la Urusi na kukichu tena kisiwa hicho

Hicho kisiwa kilikuwa chini ya mrusi..na hakuna mapambano yoyote yaliyotokea hapo... urusi ndo imeamua tu kuondoa majeshi yake ili kupisha usafirishaji wa chakula......
Hicho kisiwa hakikaliki.

Mashambulizi yamekuwepo, kulingana na picha za satellite. Kuna meli ya Urusi iliyozamishwa wiki mbili zilizopita karibu kabisa na kisiwa hicho.

Lilikuwa ni suala la muda mfupi tu kabla ya Urusi kuondoka hapo. Ni hasara!
 
Mashehe hata muda wa kuswali hata sasa hawana kutwa nzima ni kupiga propaganda tu utafikiri Russia nao wameslimu siku hizi. Bure kabisa.

Russia atajiondoaje hapo eti kupisha nafaka isafirishwe wakati hiyo ndiyo karata yake anayotumia ili aondolewe vikwazo.

Sasa hivi baada ya majeshi ya Ukraine yaliyokuwa kwenye mafunzo kwenye mataifa ya Nato kujiunga vitani na silaha mpya mizania ya vita lazima ibadilike, huo ndio ukweli.
 
Bora wa magharibi wapika habari ikiwa na ushahidi kuliko Urussi inayo Rusha makombola hovyo kwenye majumba ya watu na sehemu za mikusanyiko
Fatilia kwa umakini kwa nini jeshi la Urusi limelazimika kushambulia baadhi ya majengo yaliyo kuwa yanakaliwa na raia zikiwemo: Shule,Nyumba za ibada, Hospitali nk, ukweli wa mambo majengo hayo yalikuwa yanatumika kuwaficha wanajeshi wa Ukraine pamoja na snipers kwa lengo la kushambulia wanajeshi wa Urusi kutokea kwenye majengo.

Kitu kingine ambacho Serikali ya Zelensky ilikosea ni kuhamuru wananchi wote wapewe AK-47 ili washambulie wanajeshi wa Urusi,mtu ungetegemea nini katika mazingira kama hayo kama siyo kuwafanya wanajeshi wa Urusi kushambulia Majengo yenye watu wanao warushia risasi,mabom na anti tank missiles. In that case, you can't blame Russian MIlitary, can YOU?
 
Na kyiv mlidanganywa hivi hivi, kwanini hampendi kuamini kwamba huwa mnapigwa? Kupigwa mnapigwa ndio maana vita imechukua muda mrefu[emoji16]
Habar ikija positive kuwa Russia imefanikiwa eneo fulani baso sio propaganda, ila inapokuja kuwa negative basi ni propaganda.
 
Mashehe hata muda wa kuswali hata sasa hawana kutwa nzima ni kupiga propaganda tu utafikiri Russia nao wameslimu siku hizi. Bure kabisa.

Russia atajiondoaje hapo eti kupisha nafaka isafirishwe wakati hiyo ndiyo karata yake anayotumia ili aondolewe vikwazo.

Sasa hivi baada ya majeshi ya Ukraine yaliyokuwa kwenye mafunzo kwenye mataifa ya Nato kujiunga vitani na silaha mpya mizania ya vita lazima ibadilike, huo ndio ukweli.
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kisiwa kilikuwa chini ya mrusi..na hakuna mapambano yoyote yaliyotokea hapo... urusi ndo imeamua tu kuondoa majeshi yake ili kupisha usafirishaji wa chakula......
.... Ukraine na vita yote ile bado wana-export chakula? Dah; sisi mvua pungufu za vuli tu chali! Kuna binadamu brains zinafanya kazi haswa!
 
Habari hizi zinapikwa na media za magharibi kwa lengo la propaganda za kitoto, hukuna mapigano yaliyo tokea kwenye kisiwa hicho wiki hii yote, hisipo kuwa Urusi ndio ilitangaza juzi kwamba inaondoa majeshi yake kwenye kisiwa hicho ili kuruhusu meli zinazo beba/safirisha nafaka ziweze kupita - warusi walisisitiza kwamba wamefikia uhamuzi huo kwa lengo zuri la kuruhusu Meli zisafirishe Chakula basi,madai ya msanii Zelensky na wapambe wake hazina ukweli wowote ni propaganda wamekwisha shindwa vita wanaishia kutapatapa tu na stori za kutunga.
Swali dogo tu
Unasema Wameamua kuondoka ili Meli ziweze kwenda kuchukua Nafaka nchini Ukraine,Je,Kwani hayo Majeshi ya Urusi hapo Snake Island walishindwa Nini kuziruhusu Meli ziende Ukraine wakati walikuwa wanadhibiti kisiwa hicho? Au mpaka waondoke ndio Meli zitapita? Meli zilishindwa vipi kupita wakati wajeshi ya Urusi yakiwepo?


Usikubali Propaganda za Urusi
bro,Ukweli Ni kwamba Majeshi ya Urusi yamepokea kipigo Cha Mizinga kutoka Kwa Kambi ya Jeshi la Ukraine iliyoko Oddesa. Ndio maana baada ya Majeshi ya Urusi Kutimua mbio kutoka Snake Island kwa kutumia Speed Boat 2 walishambulia Kwa Mizinga hiyo Kambi ya Jeshi la Ukraine iliyoko Odessa na kuua watu 9 mpaka Sasa.
 
.
Screenshot_20220702-041559.jpg
 
Swali dogo tu
Unasema Wameamua kuondoka ili Meli ziweze kwenda kuchukua Nafaka nchini Ukraine,Je,Kwani hayo Majeshi ya Urusi hapo Snake Island walishindwa Nini kuziruhusu Meli ziende Ukraine wakati walikuwa wanadhibiti kisiwa hicho? Au mpaka waondoke ndio Meli zitapita? Meli zilishindwa vipi kupita wakati wajeshi ya Urusi yakiwepo?


Usikubali Propaganda za Urusi
bro,Ukweli Ni kwamba Majeshi ya Urusi yamepokea kipigo Cha Mizinga kutoka Kwa Kambi ya Jeshi la Ukraine iliyoko Oddesa. Ndio maana baada ya Majeshi ya Urusi Kutimua mbio kutoka Snake Island kwa kutumia Speed Boat 2 walishambulia Kwa Mizinga hiyo Kambi ya Jeshi la Ukraine iliyoko Odessa na kuua watu 9 mpaka Sasa.
Ilikuwa mbinu ya kivita.
Wakati huu wapo warusi na maafa makubwa yamwtokea upande wa ukraine
 
Hicho kisiwa hakikaliki.

Mashambulizi yamekuwepo, kulingana na picha za satellite. Kuna meli ya Urusi iliyozamishwa wiki mbili zilizopita karibu kabisa na kisiwa hicho.

Lilikuwa ni suala la muda mfupi tu kabla ya Urusi kuondoka hapo. Ni hasara!
Acha uwongo ww pimbi, hakukua na mapambano yyte, wameondoka tu wenyewe, na sisi hizo habari tunazifuatilia acha urongo
 
Jeshi la Ukraine lilijongelea kilichowapata wameungua vibaya na mabomu ya phosphorus.
Muda huu Russia yupo pale.
Niliwaambia ni mtego ule[emoji1787][emoji23][emoji23], wameanzisha mpaka huu uzi, hawana akili yaani mrusi kaondoka thn yakajipeleka
 
Niliwaambia ni mtego ule[emoji1787][emoji23][emoji23], wameanzisha mpaka huu uzi, hawana akili yaani mrusi kaondoka thn yakajipeleka
Warusi ndo waliwekewa mtego wakaingia kichwakichwa, wamekutana na moto mkali wakaamua kutimua kuokoa nafsi zao.
 
Back
Top Bottom