zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Duh kama akili za Sunday school ndio hizi ...Mbona ndege za mizigo kila kukicha zinaIngia na kutoka kama kawaida? Unadhani Israel inategemea bandari pekee, Israel Bado inafanya biashara na mataifa mengi tu kwasasa.
Alafu ni lazima marekani kuisaidia Israel na sio useme Israel inaombaomba, usifananishe na zelensky ambae bado anamudu vita kwa silaha za kuombaomba.