SoC04 Jeshi lenye mabadiliko ya kiteknolojia

SoC04 Jeshi lenye mabadiliko ya kiteknolojia

Tanzania Tuitakayo competition threads

Amani Ngailo

Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
5
Reaction score
2
Nashauri bajeti ya Wizara ya Ulinzi iongezwe kwa kiasi kikubwa sana, ili kuliwezesha jeshi letu kwenda na kasi ya maendeleo ya kijeshi duniani. Pia vigezo vya kujiunga na jeshi viangaliwe. Yaani muda wa mazoezi ya ukakamavu upunguzwe kidogo, kisha jeshi likazane katika kuajiri watu watakaoleta innovation ndani ya jeshi na kulifanya jeshi letu liweze kujitegemea lenyewe.

Mpaka lini tutakuwa tunaagiza silaha wakati wataalamu tunao, inabidi tu wapewe uwezo na fedha. Inatakiwa jeshi lijitegemee kabisa. Tuige kwa China ambao jeshi lao lina kila kitu na linajitegemea pia tuige kwa nchi ambazo nusu ya bajeti ya serikali huelekezwa kwenye sekta ya ulinzi. Inabidi jeshi letu liweze kuimarisha ulinzi wa ardhi,anga,majini na ulinzi wa kimtandao.

Pia ufanyike uwekezaji mkubwa wa AI (Artificial Intelligence) katika majeshi yetu ili wanajeshi wetu wawe wenye akili kichwani na ukakamavu wa mwili kama ilivyo kwa sasa.
 
Upvote 0
The European Union (EU) is considering providing up to €40 million (Rwf56 billion) in support to anti-terrorism operations by Rwandan Security Forces(RSF) in Mozambique, Bloomberg reports.

Rwandan forces have been fighting Islamic State-linked terrorists in Mozambique’s northern province of Cabo Delgado since 2021.

ALSO READ: Rwanda, Mozambique armies pursue terrorists in Nampula Province

The EU first provided €20 million support to the RSF operations in the Southern African country in December 2022.

The proposal to provide additional support to Rwandan operations in Mozambique will be discussed by EU member states in the coming weeks, Bloomberg said, citing two anonymous official sources.

ALSO READ: Cabo Delgado: Over 250,000 people return home, sea, air ports re-open

At the invitation of the Mozambican government, in July 2021 Rwanda deployed troops to Cabo Delgado to fight Islamist insurgents, who had destabilised the coastal province since 2017, killing more than 4,000 people and displacing hundreds of thousands more.

ALSO READ: Why Rwanda is bolstering forces in northern Mozambique
 
Back
Top Bottom