Jeshi letu linafanya Vumbuzi Gani Katika Academy Zake!

Jeshi letu linafanya Vumbuzi Gani Katika Academy Zake!

Tempon

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
234
Reaction score
383
Wakuu Jeshi ni Moja ya kitu muhimu sana kwa ustawihi wa Taifa lolote ulimwenguni tumekuwa tukishuhudia Budgets kubwa kabisa mataifa mbalimbali zikielekezwa katika majeshi, Ili uwe safe na jeshi salama basi kwa ulimwengu wa kileo unahitaji Technology mbalimbali , Era au Zama za kutumia Nguvu zinapitwa na muda Tech ina take over kila Anga.

Back to the Topics sifahamu sana in details kama Military Camps or academy zetu Zina Hub mbalimbali kwa ajiri ya innovation, Mataifa endelevu yamekuwa na project mbalimbali ambapo inaaminika vifaa vingo vya technology huanzia majeshi hata internet hii tunayoitumia ilikuwa project ya Jeshi la marekani japo leo iko duniani kote, Ningependa kujua Je majeshi yetu yana mifumo gani na Technology zipi ambazo huwawezesha kufanikisha sitaki kuamini kama utakuwa safe kwa kutumia branded gadgets kama huawei au Nokia kuwasiliana at least uki order components na kuifanyia assembly unaweza kuwa safe.
 
Wakuu Jeshi ni Moja ya kitu muhimu sana kwa ustawihi wa Taifa lolote ulimwenguni tumekuwa tukishuhudia Budgets kubwa kabisa mataifa mbalimbali zikielekezwa katika majeshi, Ili uwe safe na jeshi salama basi kwa ulimwengu wa kileo unahitaji Technology mbalimbali , Era au Zama za kutumia Nguvu zinapitwa na muda Tech ina take over kila Anga.

Back to the Topics sifahamu sana in details kama Military Camps or academy zetu Zina Hub mbalimbali kwa ajiri ya innovation, Mataifa endelevu yamekuwa na project mbalimbali ambapo inaaminika vifaa vingo vya technology huanzia majeshi hata internet hii tunayoitumia ilikuwa project ya Jeshi la marekani japo leo iko duniani kote, Ningependa kujua Je majeshi yetu yana mifumo gani na Technology zipi ambazo huwawezesha kufanikisha sitaki kuamini kama utakuwa safe kwa kutumia branded gadgets kama huawei au Nokia kuwasiliana at least uki order components na kuifanyia assembly unaweza kuwa safe.
nyingi tuuuuuuuuu kama kuvunja matofali....kuruka na parachutiiiiiiiiiii.................kutembea kwenye mooooto au ww hua huon pale taifa?
 
branded gadgets...huawei...academy...nokia...assembly.....hapo nimeelewa nokia na huawei,ngoja waje.
 
Mradi wa meremeta na pia ni ugunduzi wa jeshi letu.
 
Askari wetuuu
Okey nimekumbuka wale askari wetu hua wanajisifia kuhusu rangi ya uniform zao wanaita bakabaka
Utasikia wanajinadi
Usichezee Bakabaka wewe[emoji23] [emoji23]
Hii ndio Tanzania ya vi-wonder
 
Askari wetuuu
Okey nimekumbuka wale askari wetu hua wanajisifia kuhusu rangi ya uniform zao wanaita bakabaka
Utasikia wanajinadi
Usichezee Bakabaka wewe[emoji23] [emoji23]
Hii ndio Tanzania ya vi-wonder
Mambo hayo ni zamani wananchi sasa wanaelemika Vyombo vya usalama wanavichukulia friendly tu na ndio inatakiwa ivo zamani watu wanaogopa Polisi tu asee, Hilo Baka mkiliona ndio msalaaa
 
Jinsi ya kupiga kiwi,kupanda daladala bila kulipa,na kutembeza kipigo mtaani pale wanapozidiwa kete kwenye mademu
 
Kwenu wana JF , huu uzi nimeukabidhi kwa geshi, hivyo mnaonedelea kuujadili mjue kuwa
mnajadili geshi, yatayowapata mimi simo kabisaaa.
Mwafwaaaaaa............

Wakuu Jeshi ni Moja ya kitu muhimu sana kwa ustawihi wa Taifa lolote ulimwenguni tumekuwa tukishuhudia Budgets kubwa kabisa mataifa mbalimbali zikielekezwa katika majeshi, Ili uwe safe na jeshi salama basi kwa ulimwengu wa kileo unahitaji Technology mbalimbali , Era au Zama za kutumia Nguvu zinapitwa na muda Tech ina take over kila Anga.

Back to the Topics sifahamu sana in details kama Military Camps or academy zetu Zina Hub mbalimbali kwa ajiri ya innovation, Mataifa endelevu yamekuwa na project mbalimbali ambapo inaaminika vifaa vingo vya technology huanzia majeshi hata internet hii tunayoitumia ilikuwa project ya Jeshi la marekani japo leo iko duniani kote, Ningependa kujua Je majeshi yetu yana mifumo gani na Technology zipi ambazo huwawezesha kufanikisha sitaki kuamini kama utakuwa safe kwa kutumia branded gadgets kama huawei au Nokia kuwasiliana at least uki order components na kuifanyia assembly unaweza kuwa safe.
 
Sitoi comment aisee hata kwa kupewa siagi na cake!
 
Back
Top Bottom