Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuakachara we we huwaonagi.....nngepewa jesh nngelifanya la kisasa.....wavumbue vtu....na sio kila siku kuibua migogoro na raiapost of the day
It is being used for subversionwhy?
nyumbu ni jina la mradi/ shirika la jeshi kama ilivyo mzinga corporation- morogoroGari inaitwa nyumbu? made in wapi...
Ni lazima Jeshi libadilike sasa maana Kununua Full packages gadgets kuna punguza security ya ivo vitu mnavyonunua mana mtajua tu matumizi yake bila kujua technology iliyopo ndani yake, Ni wazi serikali yetu ili fund Jeshi na kuanzisha Research ya mambo mbalimbali, Miaka ya nyuma jeshi letu likikuwa imara na lilichanua mno kwa sifa kede kede barani Humu ,Dunia ime change kiuhalisia Technology ina take over Sana sana majeshiniHakuna kilicho vumbuliwa na jwtz!! Ingawa wanapekekaga watu nje kusoma military science
tatizo wanachaguana kwa kujuana mrad tuu mtu aende nje akrud ela /cheo kiongezeke
Pia serkal haina budgets za research tena kama jeshini sjawah kukisikia kabisaaaaaa
Yup knatakiwa kitengo cha research ambacho kitashirkisha RAIA pia ma doctor na professors wetuNi lazima Jeshi libadilike sasa maana Kununua Full packages gadgets kuna punguza security ya ivo vitu mnavyonunua mana mtajua tu matumizi yake bila kujua technology iliyopo ndani yake, Ni wazi serikali yetu ili fund Jeshi na kuanzisha Research ya mambo mbalimbali, Miaka ya nyuma jeshi letu likikuwa imara na lilichanua mno kwa sifa kede kede barani Humu ,Dunia ime change kiuhalisia Technology ina take over Sana sana majeshini
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]nyingi tuuuuuuuuu kama kuvunja matofali....kuruka na parachutiiiiiiiiiii.................kutembea kwenye mooooto au ww hua huon pale taifa?