MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Hahahahahaha nyie juzi si ndo mlisema JWTZ imeshapeleka vikosi kumaliza kazi? Imekuwaje tena leo hii uwape mwezi? Panya road wapo kwao,acha waenjoyHao ni panya road tu, na hapo Goma hawamalizi mwezi
Kupigana na watu waliotapakaa na hawaeleweki wapo andaki lipi inahitaji muda na akili, mmoja mmoja watachomolewa hao..Hahahahahaha nyie juzi si ndo mlisema JWTZ imeshapeleka vikosi kumaliza kazi? Imekuwaje tena leo hii uwape mwezi? Panya road wapo kwao,acha waenjoy
Basi, wape muda, mwezi utakuwa hautoshi. Unapowasubili watoke kwenye hizo handaki zao, kumbuka pia wanapokuwa kwenye hizo handaki zao na wao wanapika.Kupigana na watu waliotapakaa na hawaeleweki wapo andaki lipi inahitaji muda na akili, mmoja mmoja watachomolewa hao..