Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huu ni uchawi wa asili unakusumbua.Clouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi
Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi
Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
Hawataweza/kwanza ukiingia insta jamaaa anawazid followers!!!!!!!_clouds media 1 million kiba mwenyew 2.2millionClouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi
Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi
Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
kwahiyo watu wasiendelee na program "zao"kisa tu " wataonekana kuwa wanamsema diamond"" acheni ukike "" hata huyo diamond alikuwaga anapewa promo za kufa mtu hapo hapo clouds """ kulalamika lalamika kama watoto wa kambo mtaacha lini "" na nyie simna media yenu " mnaonaje mkimfanyia interview CEO wenu kutwa nzima kama walivyofnya clouds
hahaaa sawa chief...wanakera sana Hawa watu ""Kunywa Mofaya hapo naja lipa Mkuu
Mkuu, 'Am sorry JK'. Nimefuta kauli. Futa iyo text yako uliyoniquote ili nukuu yangu ifutike jukwaani. Clouds ni radio mama iliyokuja kufuta aibu zilizoletwa na redio 'chakavu' kama RTD na Radio one. Clouds ni radio iliyosaidia kuwapunguzia msongo wa mawazo na kuwaunganisha watanzania. Mapungufu mengine madogo madogo ni mambo ya kibinadamu.bila shaka Simu yko ipo hacked..huyu aliyepost hawezi kuwa wewe
hahaaaa...sawa "" leo ndio nimeamini kuwa mahaba ni mabaya sana..kwahiyo haya yote huku yaona au...."" any way nafuta mkuu""Mkuu, 'Am sorry JK'. Nimefuta kauli. Futa iyo text yako uliyoniquote ili nukuu yangu ifutike jukwaani. Clouds ni radio mama iliyokuja kufuta aibu zilizoletwa na redio 'chakavu' kama RTD na Radio one. Clouds ni radio iliyosaidia kuwapunguzia msongo wa mawazo na kuwaunganisha watanzania. Mapungufu mengine madogo madogo ni mambo ya kibinadamu.
Hahaha umeona ee. Wanatuzingua tu wote haoKIBAKULI NA DOMO WENU WOTE NI MAMBWIGA TU.
Watu wana leta utimu tuu, lakini hawa jui jamaa ana lipa ili atangaze biashara yake..,Mimi nineona kitu tofauti kabisa..
Nimeona kijana wa Kitanzania akiingia kwenye biashara na kuwa mjasiriamali.
Sidhani kama clouds wanampa hii promo bure..?
Mbona sijasikia hata domo akitajwamezimwaje?Simba ni simba, hawawezi kabisa kumzima Tanzanian icon"Diamond platnumz"
Yaani mizinguo yao si ya kitoto,nikimuona mtu anawashabikia hao kwenye Matimu yao huwa nawaangalia mara mbili mbili......Mie ni shabiki wa mziki mzuri na si mtu,kiba au domo wakitoa mziki mzuri nitaupenda lakini si kumshabikia yeye kama yeye huwa sinaga huo upuuzi.Hahaha umeona ee. Wanatuzingua tu wote hao
Mbona kwenye white party hukusema hayaClouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi
Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi
Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
Mi huwa hata sielewagi hawa jamaa, nadhani ni makapu darasa, maana kiba akifanya mambo yake wanaongea ongea sana, ila mondo akifanya mambo yake wala husikii watu wa kiba wakiongea ,kwahiyo watu wasiendelee na program "zao"kisa tu " wataonekana kuwa wanamsema diamond"" acheni ukike "" hata huyo diamond alikuwaga anapewa promo za kufa mtu hapo hapo clouds """ kulalamika lalamika kama watoto wa kambo mtaacha lini "" na nyie simna media yenu " mnaonaje mkimfanyia interview CEO wenu kutwa nzima kama walivyofnya clouds
wachunguze vyema mkuu"" wengi hawana life skills"" wanyoa viduku"" wapenda ngono..misifa"" madereva wa boda + ...so wasikupasue kichwa ..wako empty set""Mi huwa hata sielewagi hawa jamaa, nadhani ni makapu darasa, maana kiba akifanya mambo yake wanaongea ongea sana, ila mondo akifanya mambo yake wala husikii watu wa kiba wakiongea ,