Jeshi zima LA clouds TV na alikiba wakijaribu kumzima CEO wa wasafi TV (Diamond platnumz)

Jeshi zima LA clouds TV na alikiba wakijaribu kumzima CEO wa wasafi TV (Diamond platnumz)

Clouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi

Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi

Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
Huu ni uchawi wa asili unakusumbua.

Kwani Diamond akiwa anaenda kuhojiwa popote huwa anakusudia kumshusha mtu yoyote???
 
Clouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi

Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi

Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
Hawataweza/kwanza ukiingia insta jamaaa anawazid followers!!!!!!!_clouds media 1 million kiba mwenyew 2.2million
 
kwahiyo watu wasiendelee na program "zao"kisa tu " wataonekana kuwa wanamsema diamond"" acheni ukike "" hata huyo diamond alikuwaga anapewa promo za kufa mtu hapo hapo clouds """ kulalamika lalamika kama watoto wa kambo mtaacha lini "" na nyie simna media yenu " mnaonaje mkimfanyia interview CEO wenu kutwa nzima kama walivyofnya clouds

Kunywa Mofaya hapo naja lipa Mkuu
 
bila shaka Simu yko ipo hacked..huyu aliyepost hawezi kuwa wewe
Mkuu, 'Am sorry JK'. Nimefuta kauli. Futa iyo text yako uliyoniquote ili nukuu yangu ifutike jukwaani. Clouds ni radio mama iliyokuja kufuta aibu zilizoletwa na redio 'chakavu' kama RTD na Radio one. Clouds ni radio iliyosaidia kuwapunguzia msongo wa mawazo na kuwaunganisha watanzania. Mapungufu mengine madogo madogo ni mambo ya kibinadamu.
 
Mkuu, 'Am sorry JK'. Nimefuta kauli. Futa iyo text yako uliyoniquote ili nukuu yangu ifutike jukwaani. Clouds ni radio mama iliyokuja kufuta aibu zilizoletwa na redio 'chakavu' kama RTD na Radio one. Clouds ni radio iliyosaidia kuwapunguzia msongo wa mawazo na kuwaunganisha watanzania. Mapungufu mengine madogo madogo ni mambo ya kibinadamu.
hahaaaa...sawa "" leo ndio nimeamini kuwa mahaba ni mabaya sana..kwahiyo haya yote huku yaona au...."" any way nafuta mkuu""
 
Mimi nineona kitu tofauti kabisa..
Nimeona kijana wa Kitanzania akiingia kwenye biashara na kuwa mjasiriamali.

Sidhani kama clouds wanampa hii promo bure..?
 
Mimi nineona kitu tofauti kabisa..
Nimeona kijana wa Kitanzania akiingia kwenye biashara na kuwa mjasiriamali.

Sidhani kama clouds wanampa hii promo bure..?
Watu wana leta utimu tuu, lakini hawa jui jamaa ana lipa ili atangaze biashara yake..,
 
Hahaha umeona ee. Wanatuzingua tu wote hao
Yaani mizinguo yao si ya kitoto,nikimuona mtu anawashabikia hao kwenye Matimu yao huwa nawaangalia mara mbili mbili......Mie ni shabiki wa mziki mzuri na si mtu,kiba au domo wakitoa mziki mzuri nitaupenda lakini si kumshabikia yeye kama yeye huwa sinaga huo upuuzi.
 
Watu wengine bwana, wafanye wao, wakifanya wengine , oooohh unatuzibia riski,

Hivi huko kwenu wasanii ni mondo na kiba tu,? Maana sasa inakuwa kama hamjasoma bwana,
 
Clouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi

Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi

Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
Mbona kwenye white party hukusema haya
 
kwahiyo watu wasiendelee na program "zao"kisa tu " wataonekana kuwa wanamsema diamond"" acheni ukike "" hata huyo diamond alikuwaga anapewa promo za kufa mtu hapo hapo clouds """ kulalamika lalamika kama watoto wa kambo mtaacha lini "" na nyie simna media yenu " mnaonaje mkimfanyia interview CEO wenu kutwa nzima kama walivyofnya clouds
Mi huwa hata sielewagi hawa jamaa, nadhani ni makapu darasa, maana kiba akifanya mambo yake wanaongea ongea sana, ila mondo akifanya mambo yake wala husikii watu wa kiba wakiongea ,
 
Mi huwa hata sielewagi hawa jamaa, nadhani ni makapu darasa, maana kiba akifanya mambo yake wanaongea ongea sana, ila mondo akifanya mambo yake wala husikii watu wa kiba wakiongea ,
wachunguze vyema mkuu"" wengi hawana life skills"" wanyoa viduku"" wapenda ngono..misifa"" madereva wa boda + ...so wasikupasue kichwa ..wako empty set""
 
Back
Top Bottom