Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huu ni uchawi wa asili unakusumbua.Clouds TV INA onekana kumshambulia kijana wetu namzungumzia diamond platnumz
CEO wa wasafi TV leo naona kwenye twitter yao wamemchokoza mond na kuandika
Kua alikiba anasema hata wanawake hua wana salamu zao@Akimlenga mondi
Tangu leo asubuhi hakuna jipya wanajaribu kumpa promo kiba na kujifanya eti siku kuu ya kibaday
Yaani clouds TV mnapoelekea ni pabaya MNA leta ugomvi wazi wazi
Sasa na sisi team mondi tusiangale clouds sasa kwa sababu mondi nyimbo zake hamzipigi kabisa kisa ameanzisha TV yake ndio maana mnaumia ama?
Kwani Diamond akiwa anaenda kuhojiwa popote huwa anakusudia kumshusha mtu yoyote???