Jeshini kuna raha yake no Lace wigii!!

kijacho

Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
19
Reaction score
3
kujifunza ukakamavu ni kuongeza ujasiri! big up
 

Attachments

  • WABUNGEJESHINI2.jpg
    56.8 KB · Views: 967
Teh teh teh..., mpenzi wangu Mdee katoka kafanana na Ngeleja.... teh teh teh wamependeza mwe...!!
 
Kweli nywele zinaongeza urembo kwa wanawake. Ukiona mwanamke ananyoa au ana kipaara na bado anapendeza huyo ni mzuri sana.
 
Nimeamini ukitaka kumjua mwanamke mzuri, mwambie anyoe kipara.
 
hehehehehe

hahahahahah

hihihuhuiii

Asprin njoo uone huku
 
Last edited by a moderator:
Duh kumbe mi najiamini! Mana nmenyoa, kwel ukiona mwanamke kanyoa ujue anajiamini
 
Nimeamini kajala ni msichana mzuri sana maana yeye pekee ndio kipara kinampendeza kwenye bongo movie!
 
mimi siajona logic ya jeshi kuwanyoa vipara watu wanao kwenda kwenye mafunzo. Hivi ukinyoa kipara ndio unakuwa mkakamavu? mbona nchi za ulaya na marekani hawafanyi hivyo?
 
Easter bulaya ana visikio kumbee
..halima mdee kumbe nae ana kikomweee.??..pendezyaaa nyiiieee...ila hawa hawaachani why.?
 
Duh kumbe mi najiamini! Mana nmenyoa, kwel ukiona mwanamke kanyoa ujue anajiamini
na kichwa chenyewe kiwe kizuri ......ukute kichwa kina mabonde hafu unyoe upara si balaa hilo.
 
kule hakuna fashion show ni kwata mtindo mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…