pumbaafu!!chuo chenyewe cha kata,alafu kipo porini!!!tuondolee utoto hapa ebu someni wapuuzi nyie!!!
Mh kumbe ili taasisi ya elimu itambulike kam chuo kikuu lazm kiwe mjin? hv hat UDSM imekuw vile kw mwaka mmoja?
Habari zenu wanajamvi Raisi wa serikali ya chuo kikuu kishiriki cha sayansi na tiba cha mt. Fransisko (FADHILI KALOKOLA) amemteua JESSAM NYATO, kuwa waziri mkuu mpya wa serikali yake, uteuzi huu umekuja baada ya kuvunjwa kwa baraza la mawaziri siku ya j,pili kutokana na kushindwa kuwajibika kwa baraza hilo.
my take.
Nampongeza Raisi kwa uteuzi huu makini ambao naamini utakuwa na manufaa kwa jamii ya watu wa chuo kikuu kishiriki cha mt. FRANSISKO
Naomba kuwasilisha.
Acha kukurupuka ww nani kakuambia sfuchas ni ya serikali? Kwa hiyo ulitaka kijengwe mjin ili iweje? Kama tcu wamekipa usajili ww ni nani hata ukiponde tumia akili ww! !
kipo mkoa gani hicho chuo na kipo wilaya gani mkuu update pleas hila hongeera rais wenu kwa maamuzi magumu na makini
Kwa hiyo unataka nisomeje unanishauri kusoma unajua nmefikaje nilipo ww? mitihan yote ninayo fanya umenifaulisha ww? Toa uchovu apaa, na Usikurupuke kama mada haikuhusu sepaa,Tulia usome,ntamwambia prof mabao!!we jifanye mjanja uje ufeli uone kama yupo wa kukusaidia.nimekwambia habari zani kachaguliwa kuwa nani huko vyuoni c tija sana!!we piga shule,mmenyimwa boom that is an issue njoo huku jf,vinginevyo we endelea kujifanya mjanja uje uone!!!hapo kwenye red we hujui hata ilivyoanza hiyo sfuchas yako,ndo umesoma hapo ukameshindwa kuelewa ukajua nazungumzia ni cha serikali,we mtoto soma,md or md3 bado ni upuuzi tu,jikite masomoni.