Jesse Lingard: Mfalme mpya kwenye anga za akina Ronaldo, Messi na Neymar.

Mlianza na rashford sahivi mmehamia kwa lingard sijui mnamsifia kwa lipi jipya
 
Kalale kwanza.af ukiamka,uje uandike tena
 
Lingard yuko level moja na kina nani?????...mkuu naona hauko serious kabisa......sijaelewa huo ujasiri unautolea wapj!!!!!...sijamuona harry kane wala mo salah..hadi sasa najiuliza kwa nn sijawaona hapo...
Kisa kufunga magoli mangapi sijui ndo mmeshamfikisha huko..khaa!!!! Mtu ndo anastruggle kuingia first eleven ila kuna watu washampa ufalme.... Wabongo ni hatare!!!!
 
Kama mimi ndiye mod ningeshaiwasha kiberiti hii mada Messi kawafunika wakina Pele na Maradona alafu unatuletea ka lingard!!! Hata sterling kamfunika mbali tu.....hizi ni dharau kabisa,, mtake radhi mfalme'' please!!!
 
kama ni hivyo bas kuna mkongo mmoja anacheza ligi dalaja la tatu Gabon ndio anaongoza mechi tisa ana magoli 13 na ameassit mara 8 au unaongelea kwa ulaya pekee, anaitwa Enyina Mbolo
 
Mmebadili mawazo sio Marcus Rashford tena?

Sio Anthony Martial mliesema eti ndie mrithi wa Thiery Henry?

Hebu pambaneni na Lukaluka kwanza!
 
Huyo dogo ana safari ndefu sana ya kuwafikia hao uliomfananisha nao.
 
Mashabiki wa Man U mna kelele sana. Kelele nyingi utasikia Januzaj anafanana na Zidane, Pogba anafanana na Neymar Jr, Rashford zaidi ya Cr 7, Martial ndie mrith wa Cr 7 mara hakuna straiker kama Lukaku. Sio bureeeee.........! Mechi 9 ndio bora kuliko Messi na Cr 7.
 
Delle Ali ni bora kuliko huyu Lingard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…