'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

1. Rais Mstaafu Kikwete
2. Makamu wa Rais Dk. Mipango
3. Waziri wa Fedha Dk. Nchemba
4. Waziri Mavunde
5. Waziri Kikwete
6. Msemaji wa Serikali Msigwa
7. Mkuu wa Mkoa DSM DC Chalamila

Laiti hawa Wachache niliowataja hapa (pamoja na wengine ndani ya Chama CCM) wasingekuwa wanaonyesha wazi wazi Mapenzi yao kwa Yanga SC huku hata wakati mwingine wakitumia Madaraka yao kufanya Influence katika TFF na Ligi Kuu ya NBC (hasa Kimaamuzi) ili tu Kuiumiza na Kuikomoa Simba SC wala kile kilichotokea jana usiku Uwanja wa Mkapa kwa msafara wa Mabasi ya Simba SC kuzuiliwa kuingia Uwanjani kufanya Mazoezi kisingetokea.

GENTAMYCINE kama kawaida yangu MUONA MBALI nilishaanzisha Nyuzi nyingi sana hapa JamiiForums ya Kulisemea hili na hata Kulikemea ila kama ilivyo Jadi nikawa Napuuzwa na hata Kudhihakiwa na Watu ambao hawajui kinachoendelea na hatimaye Jana / Leo kimetokea.

Yanga SC itaachaje kuwa na Kiburi na Jeuri wakati wapo hata Viongozi Waandamizi (waliopo na waliostaafu) ambao wanatumia Fedha za Serikali kuinufaisha Yanga SC huku hata Wastaafu wengine wakizitumia Kampuni zao za Siri ambazo hazitozwi Kodi na ni za Kitapeli (walizozianzisha wakiwa Madarakani) kuweza Kuisaidia (Kuidhamini) Yanga SC kwa kila namna?

Hakuna asiyejua kuwa Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Dewji kapitia misukosuko mingi ya Kibiashara nchini Tanzania kwa Uyanga wa Viongozi katika Wizara zenye Ushawishi Kifedha (Kodi) na Biashara nchini kwa Maelekezo ya Mstaafu ambaye ana Chuki kubwa na Simba SC na pia ana Ushawishi mkubwa katika Serikali ya sasa ya Rais Samia na ana 85% ya Hisa katika Kampuni inayoogopwa na Serikali na isiyotoa Kodi na ina Hela za kufanya kila Kufuru ndani ya Taifa hili.

Wadau wa Mpira tulionya sana hapa JamiiForums juu Ligi Kuu yetu ya NBC kuharibiwa na Watu fulani na Kampuni fulani kwa Kumwagwa hovyo Fedha kudhamini Vilabu ambavyo vinashiriki nae pamoja katika Ligi hiyo hiyo huku pia ikifanya hata Udhamini wake katika baadhi ya Vitengo vya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lakini si tu hatukusikilizwa bali tulipuuzwa pia.

Huu ukweli wa wazi ambao kwa Masikitiko makubwa GENTAMYCINE nausema leo kamwe hutoweza kuupata au hata kuusikia kutoka kwa Media zetu zilizojaa Wapumbavu na Wanafiki watupu kwani hata wao (Media) wapo katika Payrolls za Wahusika niliowataja katika Utangulizi wangu pamoja na Kampuni iliyodhamiria kuja kuharibu Soka la Tanzania.

Imefika hatua sasa Media ya Tanzania (hasa kwa Michezo) zinaogopa kusema ukweli kwa Kuogopa kutopata Udhamini, kupewa Fedha na hata baadhi yao kutopendekezwa kupewa Vyeo sehemu mbalimbali na Rais Samia kwa Ushawishi wa Mstaafu mmoja na Matajiri wa Kampuni husika ambao wameshamuweka Mama Kiganjani kwao kwakuwa Wasaidizi wake Serikalini, aliyekuwa Boss wake na hata baadhi ya Wanafamilia wake nao pia wana Nguvu ndani ya hiyo Kampuni yenye Sifa Kuu mbili ya Kukwepa Kodi na kubadilisha Jina kila baada ya muda fulani.

Mtakaonielewa vyema GENTAMYCINE katika huu Uzi wangu ninaoubatiza jina la UKWELI MTUPU NA MCHUNGU nasema Asanteni kwenu na kwa wale ambao huu Uzi UTAWAKWAZA na HAWATAUPENDA au KUKUBALIANA nao kutokana na Hoja zao au Upumbavu wao kwa kutojua Soka la Tanzania nasema Samahani kwao.

Naunga mkono kwa 100% maamuzi magumu na ya Kiume kweli yaliyofikiwa Usiku wa kuamkia leo na Klabu ya Simba.

Nimemaliza.
Simba ni walozi
 
Ili suala lingeenda kiungwana sijui kupeleka report baada ya mechi lingejirudia huko mbele kufikia uvunjaji wa amani hadi vifo kutokana hao so called mabaunsa.

Napongeza uongozi wa simba kutoa maamuzi ya kutopeleka timu ili iwe fundisho lisije kutokea tena.
 
Kinywaji cha leo ni,kichungu sana lakini ndio dawa ya huu ugonjwa na hiki kinywaji ni kwa,wale walio tayari kuponya huu ugonjwa unao Sumbua na kwa hizi timu zetu hizi mbili wengi wao wanaishi kihistoria zaidi kuliko kiuhalisia
 
Mkuu na boss wangu GENTAMYCINE hujakosea chochote. Sheria zipo na lazima zifatwe
1741418554244.png
 
Huo ni woga tu kwanza hamkutoa taarifa ya mazoezi.Halafu hao mabaunsa sio sehemu ya sheria mbona hamkuomba msaada polisi
Hao Police wao hawakuona hiyo Fujo wakati wako mita chache kutoka eneo la Tukio? Nikisema Mashabiki wa Yanga SC hamna Akili mnakasirika. Ndiyo maana kumbe hata aliyekuwa Kocha wenu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni Nyani, Mbwa na Sokwe. Na hata aliyekuwa Msemaji wa Simba SC (sasa ni Shabiki yenu Haji Manara) aliwahi kusema kuwa Yanga SC nzima wenye Akili timamu ni Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi Mzee Manara.
 
Namba tena mkuu 😂😂
Hiyo namba hajaanza kuiweka hapa Leo na anadhani ni Namba yangu GENTAMYCINE na kwamba nitajulikana wakati Ukweli ni kwamba sijawahi kuwa na hiyo Namba ya Simu. Kuna Watu wengi sana JamiiForums na hasa Wapumbavu wanadhani wananijua GENTAMYCINE huku wakinifananisha na kila Mtu wakati ukweli ni kwamba hawanijui na NITAWATESA sana tu.

Kuna Mpumbavu mwingine jana kaja JF katika moja ya Uzi wangu akiseme (huku akijiamini) kuwa Mimi ni Oscar Oscar.

Cc: Ubena Zomozi
 
1. Rais Mstaafu Kikwete
2. Makamu wa Rais Dk. Mipango
3. Waziri wa Fedha Dk. Nchemba
4. Waziri Mavunde
5. Waziri Kikwete
6. Msemaji wa Serikali Msigwa
7. Mkuu wa Mkoa DSM DC Chalamila

Laiti hawa Wachache niliowataja hapa (pamoja na wengine ndani ya Chama CCM) wasingekuwa wanaonyesha wazi wazi Mapenzi yao kwa Yanga SC huku hata wakati mwingine wakitumia Madaraka yao kufanya Influence katika TFF na Ligi Kuu ya NBC (hasa Kimaamuzi) ili tu Kuiumiza na Kuikomoa Simba SC wala kile kilichotokea jana usiku Uwanja wa Mkapa kwa msafara wa Mabasi ya Simba SC kuzuiliwa kuingia Uwanjani kufanya Mazoezi kisingetokea.

GENTAMYCINE kama kawaida yangu MUONA MBALI nilishaanzisha Nyuzi nyingi sana hapa JamiiForums ya Kulisemea hili na hata Kulikemea ila kama ilivyo Jadi nikawa Napuuzwa na hata Kudhihakiwa na Watu ambao hawajui kinachoendelea na hatimaye Jana / Leo kimetokea.

Yanga SC itaachaje kuwa na Kiburi na Jeuri wakati wapo hata Viongozi Waandamizi (waliopo na waliostaafu) ambao wanatumia Fedha za Serikali kuinufaisha Yanga SC huku hata Wastaafu wengine wakizitumia Kampuni zao za Siri ambazo hazitozwi Kodi na ni za Kitapeli (walizozianzisha wakiwa Madarakani) kuweza Kuisaidia (Kuidhamini) Yanga SC kwa kila namna?

Hakuna asiyejua kuwa Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Dewji kapitia misukosuko mingi ya Kibiashara nchini Tanzania kwa Uyanga wa Viongozi katika Wizara zenye Ushawishi Kifedha (Kodi) na Biashara nchini kwa Maelekezo ya Mstaafu ambaye ana Chuki kubwa na Simba SC na pia ana Ushawishi mkubwa katika Serikali ya sasa ya Rais Samia na ana 85% ya Hisa katika Kampuni inayoogopwa na Serikali na isiyotoa Kodi na ina Hela za kufanya kila Kufuru ndani ya Taifa hili.

Wadau wa Mpira tulionya sana hapa JamiiForums juu Ligi Kuu yetu ya NBC kuharibiwa na Watu fulani na Kampuni fulani kwa Kumwagwa hovyo Fedha kudhamini Vilabu ambavyo vinashiriki nae pamoja katika Ligi hiyo hiyo huku pia ikifanya hata Udhamini wake katika baadhi ya Vitengo vya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lakini si tu hatukusikilizwa bali tulipuuzwa pia.

Huu ukweli wa wazi ambao kwa Masikitiko makubwa GENTAMYCINE nausema leo kamwe hutoweza kuupata au hata kuusikia kutoka kwa Media zetu zilizojaa Wapumbavu na Wanafiki watupu kwani hata wao (Media) wapo katika Payrolls za Wahusika niliowataja katika Utangulizi wangu pamoja na Kampuni iliyodhamiria kuja kuharibu Soka la Tanzania.

Imefika hatua sasa Media ya Tanzania (hasa kwa Michezo) zinaogopa kusema ukweli kwa Kuogopa kutopata Udhamini, kupewa Fedha na hata baadhi yao kutopendekezwa kupewa Vyeo sehemu mbalimbali na Rais Samia kwa Ushawishi wa Mstaafu mmoja na Matajiri wa Kampuni husika ambao wameshamuweka Mama Kiganjani kwao kwakuwa Wasaidizi wake Serikalini, aliyekuwa Boss wake na hata baadhi ya Wanafamilia wake nao pia wana Nguvu ndani ya hiyo Kampuni yenye Sifa Kuu mbili ya Kukwepa Kodi na kubadilisha Jina kila baada ya muda fulani.

Mtakaonielewa vyema GENTAMYCINE katika huu Uzi wangu ninaoubatiza jina la UKWELI MTUPU NA MCHUNGU nasema Asanteni kwenu na kwa wale ambao huu Uzi UTAWAKWAZA na HAWATAUPENDA au KUKUBALIANA nao kutokana na Hoja zao au Upumbavu wao kwa kutojua Soka la Tanzania nasema Samahani kwao.

Naunga mkono kwa 100% maamuzi magumu na ya Kiume kweli yaliyofikiwa Usiku wa kuamkia leo na Klabu ya Simba.

Nimemaliza.
Unajua vizuri ukipotoka huwa sikuachi upitie. Kwa hili rafiki yangu umepotoka na Kwa Yale uliyosomea nadiriki kusema umejielekeza vibaya
1.Viongozi uliowataja Wana madhaifu yao upande mwingine lakini Kwa hili umewaonea. Hebu chukulia Dr Mpango ahusike na MABAUNSA kuzuia timu kuingia uwanjani, Mpango huyu huyu? Kwamba MABAUNSA wapate kiburi sababu ya Dr Mpango?
2.Timu haiwezi kuzuiwa kuingia uwanjani na Mamlaka isiyo rasmi (MABAUNSA) àmbao hata muuza gongo anaweza kuwa nao. Funguo za geti hazikai Kwa Mtu tofauti na mamlaka ya uwanja hivyo kama waliozuia ni MABAUNSA Polisi Temeke walipofika mngeruhusiwa kuingia. Kubaini kuna kitu hakikuwa Sawa na walioamua ni Mamlaka Aidha ya uwanja au ya ligi. Hao ndo wanaotakiwa kutoka na kutueleza kilichotokea na siyo mabaunsa.
3.Kusema uamzi wa kukuripuka wa viongozi wa Simba kuandika barua wakisema hawapeleka timu uwanjani ni uamzi wa kiume sijui UANAUME gani unaosema maana Mara hatuna UANAUME wa dizaini hiyo. Kanuni haisahihishwi Kwa kuvunja Kanuni nyingine. Sababu za kutocheza Mechi zimewekwa kikanuni, kushawishi timu ikiuke Kanuni Kwa sababu kuna Kanuni haikutekelezwa upande wao ni kujipotosha kubaya. Sheria inayohusu adhabu uwanjani imeeleza mazingira ya penati yaweje, juzi tumeona JKT wakipewa penati baada ya Mpira kugonga kichwa cha beki. Kwa sababu Tu sheria ilikiukwa ulitaka Wapinzani waondoe timu uwanjani wasusie Mechi?
4.Umepuyanga zaidi kwenye suala la Mo na kutekwa kwake au biashara zake kuhusishwa na Usimba/Uyanga. Ongea kingine braza kutekwa Kwa Mo wanaojua chanzo watakucheka na ndo maana hata Simba wenyewe walitoa statement fupi kama Mkia wa Mbuzi na hata alipopatikana walikaa kimya.
5.Nakusihi utulie ujipe Muda baada kuisha hasira utaandika Mambo yenye mantic maana uwezo wako wa kufikiri naufahhamu siyo huu. Wewe ni talented charismatic fella lakini Kwa hapa narudia umejipotosha.
 
Mpira umeingiliwa na watu ndo maana ligi imejaa upangaji matokeo
Uko sahihi kabisa na hawa wana Yanga SC lia lia wafuatao hapa chini..............

  1. Jakaya Kikwete
  2. Philip Mpango
  3. Mwigulu Nchemba
  4. Antony Mavunde
  5. Ridhiwani Kikwete
  6. Gerson Msigwa
  7. Albert Chalamila
 
Back
Top Bottom