'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

Utashitakiwa kwa kutoa tuhuma za uongo kwa kutaja viongozi majina yao bila ushahidi wowote ,acha hisia kali na ushabiki maandazi. Utalipa billion Moja kwa kuchafua heshima ya viongozi wewe,.mbuzi kabisa
 
Unaanza kuzeeka vibaya mkuu. Kweli hujawahi kosea?🤣🤣
Genius tena wa Makabila ya Kizanaki (Mara), Kiyao (Mtwara) na Kitutsi (Gisenyi Rwanda) huwa anakosea?
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana hili jambo linaumiza wapenda soka wa kweli sio hawa wapenzi wanaonekana kupenda mpira baada ya yanga kuchukuliwa na Gsm....hili jambo tuliunge mkono 100% wapenda soka wote na likemewe kwa watu wenye mapenzi na soka la bongo....Simba wapo sahihi kuisusua mechi ....ule uhuni wa yule mkuu wa mkoa wa mwanza unajirudia tena!
 
Simba leo kawa mgeni na uwanja wa Mkapa???? Acheni kuchekesha watu. Pelekeni timu msipende kudeka
 
Acheni uoga nyie. Tangu lini simba akawa mgeni na uwanja wa kwa mkapa? Mnadeka kama vislay queen
 
Naomba kuelimishwa jamani.
Je, timu kutofanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja waliouzoea na wanaufamu kabla ya mchezo husika kunaweza kuathiri performance yao uwanjani? Kama jibu ni ndiyo, basi hao waliowazuiq wengine kufanya mazoezi ni watu wa hovyo sana.
 
Ukiwa shabiki wa Simba automatiki unakuwa MBUMBUMBU
 
Vilio vya nini, pelekeni timu kiwanjan kipigwe, mpira hauchezwi mdomoni kwa kuhonga wachambuz kanjanjq🤣
 
Kacheze mechi Acha woga.Juzi mzee dewji kasema simba inaonewa,Ahmed Ally alisema hatuchezi,huenda mlitengeneza mabaunsa ili mtumie kama siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…