'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

Unajua haya mambo watu wanachukulia kimzaha sana, lakini Kwa watu wenye akili waliotuzidi masuala kama haya ya timu kubwa huchukuliwa Kwa uzito wa juu sana na huweza kuleta mpasuko mkubwa kwenye taifa, Kama huamini ni kwamba wapo watu wako tayari kujua kwaajili ya hizi mechi ndo uone namna gani mambo yalivyo serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…