Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Matambo lazima yawepo na yanaleta vionjo vyake nje ya uwanjaTimu zenu si zinawawekezaji naonaga mnatambianaga humu
Anko Moise ni muwekezaji ktk nyanja nyingiHivi Katumbi anajihusisha na biashara gani?
Je uwekezaji wake humo TP Mazembe unarudi? Au anafanya kama starehe na kujitafutia jina?
Hahahaha sasa tukisema timu za kariakoo hazina uwezo wa kushinda a ktk usajiri wa kimataifa wanabisha.Matambo lazima yawepo na yanaleta vionjo vyake nje ya uwanja
Aisee kumbe yupo vizuri, ila uwekezaji wake TPmazembe ni kama anajifurahisha?Anko Moise ni muwekezaji ktk nyanja nyingi
Ana kampuni ya Logistics na usafirishaji hasa wa mizigo ya migodini
Hakuna Matata sarl
Habari kani sarl
Pia alikua na mgodi wa madini unaitwa MCK
Na miliki appartments na maduka Lubumbashi ,zoo ya wanyama
Ana biashara ya kusambaza unga na vyakula
Anamilikk vyombo vya habari ,Nyota TV na Nyota radio
Mambo mengi anamiliki kifupi yuko vzr
NB ilikua gavana wa Katanga kabla haijagawanywa
Hahah mimi ni mwana simba lkn pale hatuna mwekezaji ila tuna muwezeshaji.Hahahaha, nadhani wataona utofauti wa Simba wanajiita kikosi cha billion 1 na tp Mazembe
Hahahaha uwekezaji una mnufaisha sana tu , tp Mazembe ukiacha kumpa umaarufu pia club inamlipaAisee kumbe yupo vizuri, ila uwekezaji wake TPmazembe ni kama anajifurahisha?
Hivi mbona sijawahi kusikia jina lake likitajwa kwenye forbes? Tatizo ni nini?
Hahahaha, hy mo Simba ndio imewekeza kwake kupitia Treasure bondHahah mimi ni mwana simba lkn pale hatuna mwekezaji ila tuna muwezeshaji.
Ulishawahi kuona mwekezaji eti timu inafungwa anatishia kuondoa udhamini wake kwny timu yake huko twitter mpk abembelezwe na wakina Makonda?hahah acha Katumbi awaonyeshe maana ya kuwekeza.
Katumbi dili za aina zote yumo tu na yule bro wake/Business Partner wake Soriano ni noma sana( mpk deal za kuuzia silaha serikali anafanya sana na ni mpigaji mzoefu tu).Hahahaha uwekezaji una mnufaisha sana tu , tp Mazembe ukiacha kumpa umaarufu pia club inamlipa
Khs kuwepo Forbes sijui ila kaa ukijua anko hajarithi Mali kwa mzazi
Zambia ana mashamba makubwa ya mahindi
Kabila snr anaingia Lubumbashi Moise yuko vzr
Ngoja wana Simba tuendelee kugonga Mo Energy tu mzee baba.Hahahaha, hy mo Simba ndio imewekeza kwake kupitia Treasure bond
Mo kaanza kuwekeza lini na huyo Moise Katumbi kaanza kuwekeza ?Dewji anawatisha mikia kwa kikosi cha bilioni 3... halafu mikia wanasema wapo level moja na vigogo wa africa.. huku mazembe mchezaji mmoja tu ananunuliwa bilioni 5.. na wanakataa kumuuza
Yaani hiyo bei mikia wachezaji wote mpaka benchi wanazidiwa bilion 2 thamani
Ulitaka awape nini ?Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.
Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
Mo energy.
Acheni wivu wa kike, nyinyi mmeshindwa kuwekeza walau kwa mademu zenu mnakuja kusimanga mtu anayetoa billions kwenye timu ambayo hata faida haizalishi ?Mo energy.
Sawa sawa,ukitoka hapo nenda kule twitter ukashirikiane na Makonda mkambembeleze Mo asije kususa kuidhamini simba.Acheni wivu wa kike, nyinyi mmeshindwa kuwekeza walau kwa mademu zenu mnakuja kusimanga mtu anayetoa billions kwenye timu ambayo hata faida haizalishi ?
Wekezeni kwenye ubongo kwanza ndiyo mmchallenge Mo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mikataba tutaivunja kwa manenoHahahaha sasa tukisema timu za kariakoo hazina uwezo wa kushinda a ktk usajiri wa kimataifa wanabisha.
Km zina ubavu zijaribu kuvunja mikataba ya wachezaji nguli Africa hapa ,wasisubiri wabure bure
Hiyo mikataba tutaivunja kwa manenoHahahaha sasa tukisema timu za kariakoo hazina uwezo wa kushinda a ktk usajiri wa kimataifa wanabisha.
Km zina ubavu zijaribu kuvunja mikataba ya wachezaji nguli Africa hapa ,wasisubiri wabure bure
Hahahaha ,hivi hizo timu zinaweza zinunue mchezaji $ 150,000 au $ 200,000 ? Bado mshahara hapo ,then waje wauze bei kubwa zaidiHiyo mikataba tutaivunja kwa maneno