SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Mimi ni mwanamsimbazi ila huu uzi wa watani wetu nimeukubali. Mara moja moja nitakua nauvaa alafu najifungia ndani hahaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mkia unataka kufananisha huu uzi na ile midekio yenu?
We mkia unataka kufananisha huu uzi na ile midekio yenu?
Tambara??we itakua na macho ya sikukuu sio bureKwa kweli mimi ni Yanga lakini hizi tambara tumepigwa.
Ona hili
Kama hiyo Atlas ndo kiwakilishi cha African, Sasa kiwakilishi cha Young kiko wapi?Jezi ni Kali sema kunakitu kimoja hawakuwa makini.walitakiwa wawe wabunifu ingenoga.
RAMANI ya Afrika. Hapa ndio wabunifu kidogo wameteleza, Najua dhsmira yao ilikuwa ni kuleta maudhui na maana halisi ya Young Africa .
Lakini ukubwa wa mchoro Wa ramani hiyo imeharibu muonekano Wa jezi. Haswa ukizingatia ramani yenyewe kuweka ubavuni haikupi we we mtazamaji tafsir kamili.
Pendekezo langu ,japo ndo ishatoka nafkir kama wabunifu wangeona mbali haya ndo maeneo ramani ingekaa na kuleta muonekano mzuri
1 Chin ya Maandishi ya SPORT PESA hili ni eneo zuri kabisa kwani ingeliwekwa ramani ndogo ya wastani ingependeza zaidi
2 BEGANI
Bora cc mkuu kuliko vile vijora vya vyekunduKwa kweli mimi ni Yanga lakini hizi tambara tumepigwa.
Ya njano na kijani
Mbumbumbu hamna tiba. Unajua maana ya atlas?Mmeambiwa watu wanataka kusoma jiografia uwanjani?Mbona mlipiga kelele sana na kuzinanga jezi za watani wenu?Mnazidiwa na wajela jela?