Daniel Mwinula
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 302
- 328
Ni jambo zuri sana kuzindua jezi sehemu ya kiutalii kama Mlima Kilimanjaro. Lakini ingekuwa ni jambo zuri zaidi kama ingekuwa ni sehemu ambayo uongozi mzima ungekuwa unaweza kufika…!!! Na sidhani kama mwaka huu SIMBA ikawa na picha za uzinduzi wa jezi zao..!!
Jezi kuzinduliwa na wapagazi, sio jambo linalovutia sana, japo naamini ingekuwa na maana zaidi kama INGEZINDULIWA KWANZA, halafu kibegi kingepandishwa…!!!
Ni hayo tu…!!
Jezi kuzinduliwa na wapagazi, sio jambo linalovutia sana, japo naamini ingekuwa na maana zaidi kama INGEZINDULIWA KWANZA, halafu kibegi kingepandishwa…!!!
Ni hayo tu…!!