Jezi moja ya Yanga ni kama ya kuchezea netball

Jezi moja ya Yanga ni kama ya kuchezea netball

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kama Yanga wanadhani wamefanya ubunifu basi wamekosea sana kwani kuna jezi yao ile yenye mistari kwa chini ni kama jezi ya netball.

Mwanzoni nilijua kwa vile kwenye logo yao kuna yule mtu kama mganga wa kienyeji tuliambiwa ni alama ya netball, basi wametoa na jezi za netball kabisa. Ajabu nikamuona Morrison kaivaa na baadhi ya watu wanaisifia.
 
Kama yanga wanadhani wamefanya ubunifu basi wamekosea sana kwani kuna jezi yao ile yenye mistari kwa chini ni kama jezi ya netball.

Mwanzoni nilijua kwa vile kwenye logo yao kuna yule mtu kama mganga wa kienyeji tuliambiwa ni alama ya netball, basi wametoa na jezi za netball kabisa. Ajabu nikamuona Morrison kaivaaa na baadhi ya watu wanaisifia.

Leo ni siku ya wananchi mkuu ,unateseka ukiwa wapi?
 
Kama yanga wanadhani wamefanya ubunifu basi wamekosea sana kwani kuna jezi yao ile yenye mistari kwa chini ni kama jezi ya netball.

Mwanzoni nilijua kwa vile kwenye logo yao kuna yule mtu kama mganga wa kienyeji tuliambiwa ni alama ya netball, basi wametoa na jezi za netball kabisa. Ajabu nikamuona Morrison kaivaaa na baadhi ya watu wanaisifia.
Waliotowa jezi ni Simba, imekuwaje unaongelea jezi za Yanga leo?

Kuna kitu hakipo sawa umepatwa na mhaho.
 

Attachments

  • FB_IMG_1689992313012.jpg
    FB_IMG_1689992313012.jpg
    31.1 KB · Views: 1
Hongera umekuwa msemaji wa Yanga toka lini____?
Je nyie moja ile imefanana na Azam_______?
 
Aisee hizi Simba na Yanga zinawatoa watu akili.,Mtu anakua kama chizi.

Sasa hapo wewe ndo unaona umeandika kitu chenye maana sana au?.
 
Back
Top Bottom