Hapana mimi ni Nyumbu ila namkubali Bayani kwa vile alinilipizia kisasi kwa kumtandika Barcelona nyingi kuna ila 7 2013 kama sikosei na ya juzi Kati kubwa kuliko maana siwapendi Baka kichizi .Mkuu nimekuja kugundua wewe ni mshabik mkubwa wa Bayaaan
Tuwekee process za kupata Jersey OG mpya kama unafahamu mkuuTena ni bora aagize nje hapa TZ atauziwa 245k kwa jezi ya 25k
Juve hawajawihi niangusha kweny jezi wapo vizur sanaBayern Munich home kit [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2212642
View attachment 2212643
View attachment 2212644
View attachment 2212645
Naupa namba 1
Naupa mbili
Itapendeza zaidiTuwekee process za kupata Jersey OG mpya kama unafahamu mkuu
Hii Jersey kama ya wauza kachori... Iko full equipped [emoji23][emoji23][emoji12][emoji12]
Chek vizur jez yao haiko iv
Kwa kweli na Mimi nimeuelewa... Jezi ya moto sana hiiHuu uzi umekwenda shule .
Hahahahaaa.. Mkuu, umenikumbusha hii tamthiliya.. Miongoni mwa filamu chache ninazozifatilia hapa bongo.. Hahahahaaa. Umetisha sana...[emoji24][emoji24][emoji23]View attachment 2214562View attachment 2214563