Jezi ya Simba SC itakayozinduliwa leo ni ya Kuchukua Vikombe vyote na siyo za Kuishia Fainali na Kulalamika kuhujumiwa

Jezi ya Simba SC itakayozinduliwa leo ni ya Kuchukua Vikombe vyote na siyo za Kuishia Fainali na Kulalamika kuhujumiwa

Chanzo Taarifa: EFM Sports Headquarters

Na kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Watu wa ndani Simba SC ni kwamba kuna Uwezekano baada ya Jezi Kuzinduliwa leo kati ya Saa 10 Jioni hadi Saa 1 Usiku kwa Uzuri wake zikanunuliwa kwa Kasi zote nchini na kuisha.

Pia kuna uwezekano hata Marais wa Marekani Joe Biden na wa Ufaransa Emanuel Macron wakampigia Simu Rais wa Tanzania Samia Hassan wakiomba Simba SC iende katika Ikulu zao kwa Mualiko Maalum.

Shikamoo Sandaland kwa Jezi Kali!!!!
Ok. Zilizozinduliwa miaka ya nyuma zilikuwa za kuishia robo fainali
 
Chanzo Taarifa: EFM Sports Headquarters

Na kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Watu wa ndani Simba SC ni kwamba kuna Uwezekano baada ya Jezi Kuzinduliwa leo kati ya Saa 10 Jioni hadi Saa 1 Usiku kwa Uzuri wake zikanunuliwa kwa Kasi zote nchini na kuisha.

Pia kuna uwezekano hata Marais wa Marekani Joe Biden na wa Ufaransa Emanuel Macron wakampigia Simu Rais wa Tanzania Samia Hassan wakiomba Simba SC iende katika Ikulu zao kwa Mualiko Maalum.

Shikamoo Sandaland kwa Jezi Kali!!!!
kumbe mnapenda mamb za ikulu mpk na nyinyi mnaota mpate ka mwaliko pale chamwino!!!
 
Chanzo Taarifa: EFM Sports Headquarters

Na kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Watu wa ndani Simba SC ni kwamba kuna Uwezekano baada ya Jezi Kuzinduliwa leo kati ya Saa 10 Jioni hadi Saa 1 Usiku kwa Uzuri wake zikanunuliwa kwa Kasi zote nchini na kuisha.

Pia kuna uwezekano hata Marais wa Marekani Joe Biden na wa Ufaransa Emanuel Macron wakampigia Simu Rais wa Tanzania Samia Hassan wakiomba Simba SC iende katika Ikulu zao kwa Mualiko Maalum.

Shikamoo Sandaland kwa Jezi Kali!!!!
Ndo hii
20230721_183117.jpg
 
Kali sanaaaaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]ile nyaupe naenda kesho kununua
 
Back
Top Bottom