Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushinda kwa kunusurika au kwa kutonusurika, point ni zile zile 3..!!Mmenusurika mpaka hamuamini [emoji23]
Mpira ni dakika 90 goli limefungwa dakika ya 88 hio chupu chupu unaongelea ni ipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walikua wana lala na viatu, wameponea chupu chipu. Uwiiiiiih
Dkk ya 89 Goal limefungwa, walikua wana lala na viatu.Mpira ni dakika 90 goli limefungwa dakika ya 88 hio chupu chupu unaongelea ni ipi
Ikawaje?Dkk ya 89 Goal limefungwa, walikua wana lala na viatu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilivyokua.Ikawaje?
Kutofungwa kwetu ni ushahidi tosha kabisa kuwa hatukupoteana..!!Mlipoteana kabisa [emoji23]
Sasa hivi tunaenda unbeaten 101Ilivyokua.
Sawa, lakini ni dakika za mchezo pia ili zitimie dakika 90..!! Kwani wakati zinaitwa dakika za lala salama kwa Yanga, hao prison wao zilikuwa dakika za amka salama?Dakika za lalasalama
Sijui ingekuaje zingeongezwa dakika kama Azam FC tukapata goli wangeongea sana hawaSawa, lakini ni dakika za mchezo pia ili zitimie dakika 90..!! Kwani wakati zinaitwa dakika za lala salama kwa Yanga, hao prison wao zilikuwa dakika za amka salama?
Na game lijalo mkifungwa utahamishia kwenye linalofuataTukutane game lijalo
Jipeni moyo tu..!! Nyie vibonde wetu..!!Tuupe muda wakati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata ikiwa bukuuu hatustukiiiii,Sasa hivi tunaenda unbeaten 101