Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo imechapa mtu goli mbiliNzito
[emoji23][emoji23][emoji23] Pole sanaYanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe.. Nimetumia neno INAWEZA kwakuwa bado ina nafasi ya kufanya jambo
Rangi, maumbo na michoro kiroho huwakilisha vitu vikubwa sana.. Na in fact hesabu za kiroho ziko kwenye hayo mambo matatu..RANGI, MAUMBO NA MICHORO...!
Kwenye rangi sio ishu tena kwakuwa waliozichagua walishazipitisha na zikapata kibali cha kiroho... Rangi ya kijani inawakilisha uhai na ni rangi yenye nguvu sana kiroho.. Hata hiki chama cha ccm kinaishi mpaka leo hii kwa kudra za kiroho za rangi ya kijani.. Soma vitabu hivi kama rejea Green Traveller na The Hog!
Maumbo pia yana nguvu kubwa sana kiroho, na ndio maana watu huchukua muda mwingi kubuni ama kutumia umbo lenye uhai ama connection na roho.. Hapa sizungumzii uchawi na ushirikina vilabuni.. Ukitaka kujua nguvu ya maumbo tembelea majumba ya maonesho yenye maumbo na picha za vitu mbalimbali na ukae sehemu ya utulivu.. Hisia utakazopata ni tofauti kabisa na hisia utakazopata utakapoingia jumba lisilo na mapichapicha.. Hivi vitu huumba roho..
Michoro hasa yenye kuwakilisha vitu vyenye uhai hii ndio huwa hatari zaidi kama isipochaguliwa kwa umakini mkubwa.. Michoro ya maeneo, viumbe hai na chochote chenye kiasili na uhai imebeba maroho mazuri na mabaya
Kwa kutaka utofauti lakini bila kuzingatia mambo haya ya kiroho.. Timu ya Yanga msimu huu imekuja na jezi zilizoelemwa na michoro ya maeneo mbalimbali ya mji wa Dar na kwingineko na vitu vingjne pia vinavyowakilisha mpaka GPS nadhani[emoji3]..
Matokeo yake jezi kimwonekano inakuwa nyepesi lakini kiroho imelemewa mnoo
Ina picha ya askari monument pale Posta... Ni mnara unaowakilisha roho zilizokufa vitani
Kuna michoro ya uwanja wa fisi[emoji24]
Kuna maeneo mbalimbali ya makaburi
Kuna kila aina ya michoro yenye kukumbusha machungu na mambo ya kuumiza pia.. Haya yote yamekusanywa kwenye kitambaa kisichozidi mita moja
Ni maroho mangapi kwa pamoja yanabebwa na mchezaji mmoja kwa wakati mmoja.. Hapo achilia mbali na yale mahirizi .. Mwisho mchezaji anajikuta ni mwepesi wa kilo 60 lakini akicheza utadhani ana kilo 135 kamili..[emoji23]
Ni mtazamo tuu wa kiroho tusitupiane mawee
Utaelewa tu tukishabeba trebleHivi mbona mnakuwa wa ajabu kiasi hiki??[emoji23] Mbona Mnyama alipowapiga mbili kavu hamkuonekana kwenye hii mada? Mkoje?[emoji23]
Kweli kabisa,, wapare na uganga. Wapi na wapi hao ni uchawi tu washirika wakuu wa unyamafu pambaaafuKuwa makini na waganga feki, mganga wa kweli hatoki upareni.
Mganga feki hukuona hayo mabukta yenu Mo anayowabandika matangazo hadi kwenye mipododo ndo mazitoOk basi sawa
[emoji23][emoji23]kumbe uzito ulikua una maanisha kufungwa na Simba tu basi sawa nmekuelewaHivi mbona mnakuwa wa ajabu kiasi hiki??[emoji23] Mbona Mnyama alipowapiga mbili kavu hamkuonekana kwenye hii mada? Mkoje?[emoji23]
OKW BOBAN SUNZU Huyu mkia kuna uzi wake hana hata ubavu wa kutia pua yake hukoMshana Jr hakika ni mapafu ya mbwa na kisiki cha mpingo😃, haukimbii uzi wake.
Vijana kila wakiupandisha yupo, mwishowe wanakimbia wenyewe😀
Mzazi anayetelekeza mwanae huyo si mzazi bora by the way huh uzi shida yake ninini? Jana waliocheza ni Azam na SIMBA, hao wengine wamekuja tu kujifariji [emoji23]Mshana Jr hakika ni mapafu ya mbwa na kisiki cha mpingo[emoji2], haukimbii uzi wake.
Vijana kila wakiupandisha yupo, mwishowe wanakimbia wenyewe[emoji3]