Mie nilidhani mmewapiga mafirauni na kuhama mkiani kumbe ni jezi tu 😂 😂.
Upo siriazi na hili bandiko kijana? au ndio mambo ya kufilisika kifikra hadi unasambaza huo uharo?
Mbona hakuna Mo Extra kifuani? Sio jezi yenu hiyo 😅😅Na ile ya Simba kule nyuma ni vest yako??
kumbe umeizoom?Mbona hakuna Mo Extra kifuani? Sio jezi yenu hiyo 😅😅
Una mzarau au una mdharau?namzarau sana.
Kama wewe ulivyoizoom tukumbe umeizoom?
Una mzarau au una mdharau?
Wala sijaizoom..ni ya SimbaKama wewe ulivyoizoom tu
Fanya tu maombi Uto huko CAFCL wahame mkiani, mambo ya kulumbana yatakufanya utende dhambi bure 😁Wewe unaonaje? Chagua neno linalofaa halafu turudi kwenye mada.
Fanya tu maombi Uto huko CAFCL wahame mkiani, mambo ya kulumbana yatakufanya utende dhambi bure 😁