Jezi za Nigeria zatajwa kuwa ni nzuri kuliko zote kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2018, nchini Russia

Wanatumia udhaifu ule ule wa kufikiri wa waAfrica kunyakua nyakua mapesa , wame overate price kwa sababu kuzidiana kuonesha ufahari kumbe wanatuumiza kwa kutumia psychology
Umeumizwa wapi??

Nenda kariakoo kanunue jezi za Tsh.10,000.
 
Wanatumia udhaifu ule ule wa kufikiri wa waAfrica kunyakua nyakua mapesa , wame overate price kwa sababu kuzidiana kuonesha ufahari kumbe wanatuumiza kwa kutumia psychology
Jesi original ndo bei yake hiyo mkuu..jesi kama ya man united ni $107
 
Watanzania tunayaweza!
 
Wala sio bei sema tu kipato chako cha wasiwasi, wewe kanunue Kariakoo 20K.
Najua bei ya jezi huwa ni Kubwa sana lkn huwa haimaanishi kwamba gharama kubwa zinatumika kwny uzalishaji,huwa zinauzwa hivyo ili kuonyesha support/loyalty kwa timu zao na kama njia ya mapato kwa klabu,haya niambie Nigeria inahitaji mapato gani?
 
Tunataka game bhana, the rest ni mbwembwe tu Kama za Taifa stars, mbona Bush Star walikua wanacheza bila jezi ila game yao ilikua balaa Sana hahahahahaa ni utani!!

Good job
Bwihi[emoji3][emoji3][emoji3] Namkumbuka Komredi Kipepe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…