Jezi za Nigeria zatajwa kuwa ni nzuri kuliko zote kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2018, nchini Russia

Yeah ni bonge ya jezi aiseee lkn pia na hizi kampuni ziache kuover price sport kits,huwezi muuzia mtu nguo ya juu pekee kwa bei hiyo,shout outs kwa starboi imemtoa balaa

Ni market force mkuu...bei itapanda na kushuka kutegemeana na soko.
 
Wachina wa Kariakoo kama nawaona vile wakikesha kutoa copy ili kesho zipatikane. Ngoja tusubiri
Cha kusikitisha zaidi kuna watu bado wataja nunua midisho hiyo ya kichina kwa price ya original ili wakaoshe kama wiz kid[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…