Jezi za Simba zimejaa radi(Thunderstorm), Tuna Safari ndefu ya ubunifu Tanzania

Jezi za Simba zimejaa radi(Thunderstorm), Tuna Safari ndefu ya ubunifu Tanzania

kamguu safi cha kumachisha wasikasahau
Screenshot_20220807-212425.jpg
 
Hongereni M bet kwa kufanya nembo yenu ing'ae kwa kuamua kuchora picha za radi jezi yote ya simba

Jezi zina muundo wa kike sana, Au simba wanaume mambo yenu sio haba? Mmezoea Mombasa wana simba kwa muundo ule wa jezi mashalah

Jezi za Simba ni moja ya vituko vya mjini, Unawezaje kujaza radi kwenye jezi yote, Neno linaloonekana ni M Bet

Tuache unafiki, Hizi jezi za Simba kwa muonekano zina tofauti gani na za mwaka jana, Zaidi mwaka huu zimejazwa radi

Picha za waliovaa jezi ni wale wenye miwili wa Six pack at least zimewafit, Sasa wewe na Mimi na miili yetu ya milima na mabonde ndio Itakuwa kituko kamili

Ubunifu Tanzania ni Sifuri, Jezi zote za ulaya zimetoka mnashindwa hata kucopy ya Team moja wapo kimuundo mkabadili Rangi tu

Sasa miezi yote hii mnatoa jezi ya kishamba namna hii

Ule muundo wa chini wa hizi jezi mpya unawachoresha baadhi ya wanaume wowo zao

Ni dhahiri ule muundo wa chini wa jezi unawafaa watu ambao ni models of na wenye six pack zao, Wengine zitawachoresha wowo
Hizi ndio akili za warembo
Byuti byuti
 
Hi jezi ni kituko kwanza Simba wanatoka katika asili yao ya Red & White

Kwa timu kubwa kama simba ilitakiwa wawe wanashindanisha wasanii wa kuchora ili kupata jezi Mpya wangekuwa wanapata jezi bora kabisa kila mwaka

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Ila barcelona wakivaa kijani au Man u wakivaa pink hawajatoka kwenye asili yao. Ajax walipovaa rangi za bendera ya ethiopia msimu uliopita ilikuwa ni asili yao na ubunifu.
Haya sasa tueleze rangi nyeusi na kijivu wanazotumia Yanga kama ni asili yao.
 
Hongereni M bet kwa kufanya nembo yenu ing'ae kwa kuamua kuchora picha za radi jezi yote ya simba

Jezi zina muundo wa kike sana, Au simba wanaume mambo yenu sio haba? Mmezoea Mombasa wana simba kwa muundo ule wa jezi mashalah

Jezi za Simba ni moja ya vituko vya mjini, Unawezaje kujaza radi kwenye jezi yote, Neno linaloonekana ni M Bet

Tuache unafiki, Hizi jezi za Simba kwa muonekano zina tofauti gani na za mwaka jana, Zaidi mwaka huu zimejazwa radi

Picha za waliovaa jezi ni wale wenye miwili wa Six pack at least zimewafit, Sasa wewe na Mimi na miili yetu ya milima na mabonde ndio Itakuwa kituko kamili

Ubunifu Tanzania ni Sifuri, Jezi zote za ulaya zimetoka mnashindwa hata kucopy ya Team moja wapo kimuundo mkabadili Rangi tu

Sasa miezi yote hii mnatoa jezi ya kishamba namna hii

Ule muundo wa chini wa hizi jezi mpya unawachoresha baadhi ya wanaume wowo zao

Ni dhahiri ule muundo wa chini wa jezi unawafaa watu ambao ni models of na wenye six pack zao, Wengine zitawachoresha wowo
Kawaida ya mchawi ni kudiss kila kitu kizuri 😂😂😂 Yanga wenzio wamefurika Vunjabei kununua jezi ya Simba sababu ni kali sana wewe unakomaa kuikandia
 
Back
Top Bottom