adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa moja,
Barabarani na kwenye nimekutana na Jezi tofauti za Taifa stars Og zaidi ya ishirini na kitu ndani ya msimu mmoja za aina tofauti tofauti kinyume na zile rasmi zilizotambulishwa na Tff kwa matumizi ya wachezaji na mashabiki wa Taifa stars.
Jezi zenyewe ni hizo hapo chini zinatengenezwa na kampuni ya Uhlsports ambayo inatambulika kama mtenenezaki rasmi wa Jezi za Taifa stars.
Katika hali isiyotarajiwa mtaani kuna Jezi nyingi tena imetengenezwa na material Og sio za kuchovyekwa ambazo zina nembo ya Taifa Stars .Hizo Jezi jina la kampuni limebadika sasa ina chapa ya 'Johsports' na zimepata mwamko mkubwa watu wengi wanunua hizo kuliko zile rasmi zilizotambulishwa.
Picha kwa uchache hizo Jezi zenyewe.
Hawa jamaa wanafyatua vitu tu..
MASWALI YA KUJIIULIZA.
1. Je Johsport wanamkataba ramsi wa kutengeneza Jezi za Taifa stars? kama ndio lini waliopewa hiyo kandarasi na kwa nini watoe Jezi hovyo kama njugu ndani ya msimu mmoja kitu ambacho ni kigeni sana kwenye soka?
2. Kama hawana Kandarasi hiyo kwa nini wapo huru sana na hakuna tamko lolote kuhusu wao na wahusika kuchukuliwa hatua
#UziTayari
Barabarani na kwenye nimekutana na Jezi tofauti za Taifa stars Og zaidi ya ishirini na kitu ndani ya msimu mmoja za aina tofauti tofauti kinyume na zile rasmi zilizotambulishwa na Tff kwa matumizi ya wachezaji na mashabiki wa Taifa stars.
Jezi zenyewe ni hizo hapo chini zinatengenezwa na kampuni ya Uhlsports ambayo inatambulika kama mtenenezaki rasmi wa Jezi za Taifa stars.
Katika hali isiyotarajiwa mtaani kuna Jezi nyingi tena imetengenezwa na material Og sio za kuchovyekwa ambazo zina nembo ya Taifa Stars .Hizo Jezi jina la kampuni limebadika sasa ina chapa ya 'Johsports' na zimepata mwamko mkubwa watu wengi wanunua hizo kuliko zile rasmi zilizotambulishwa.
Picha kwa uchache hizo Jezi zenyewe.
Hawa jamaa wanafyatua vitu tu..
MASWALI YA KUJIIULIZA.
1. Je Johsport wanamkataba ramsi wa kutengeneza Jezi za Taifa stars? kama ndio lini waliopewa hiyo kandarasi na kwa nini watoe Jezi hovyo kama njugu ndani ya msimu mmoja kitu ambacho ni kigeni sana kwenye soka?
2. Kama hawana Kandarasi hiyo kwa nini wapo huru sana na hakuna tamko lolote kuhusu wao na wahusika kuchukuliwa hatua
#UziTayari