Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Mimi nipo najiuliza maswali mengi sanaNyie kuweni wakweli Mtani huyo Naniliu hapo kushoto kwa Karie ndio kawafanya muone jezi mbaya na wala si hiyo rangi sababu hao wote wawili ni Simba lialia.
Ndio mshachelewa kuwasilisha haya mawazo. 😀😀😀 Uzi wa njano ndio huo unakwenda kuvaliwa Misri Mtani.Hahaha yani TFF
Wanataka tukaipambe nchi ya mafarao na njano.
Ule Uzi wa zamani wa Green(kijani) tunge wakabizi tenda puma, Nike ama adidas watu tulee kitu cha mfano kama ule Uzi wa Niger uliotumika word cup
Mumuulize Karia awajuze Mtani.Mimi nipo najiuliza maswali mengi sana
Hapo yeye ni kama nami
Gundu la madogo wa Serengeti anataka kulileta tena
Ngoja tukaone yangaNdio mshachelewa kuwasilisha haya mawazo. 😀😀😀 Uzi wa njano ndio huo unakwenda kuvaliwa Misri Mtani.
hii ndo yenyewe cc ShadeeyaView attachment 1125500
Hii ndio jezi tulioizoea kuwa ni ya Taifa hata wazungu wanaokuja kututembelea ili kuonyesha uzalendo huvaa hizi kama vazi la utambulisho wa nchi
Hii ndiyo sahihi, hata Jamal Rwambo shabiki wa Mikia FC alisema. Timu ya taifa inazingatia rangi za bendera ya Taifa. Period.Nimeona jezi mpya za timu ya Taifa zimetambulishwa Leo.
Haiwezekani jezi zote hazina rangi nyekundu,lazima wote tuletwe pa1 kupitia rangi za timu ya taifa.
Kubali kataa Tz kama sio simba/yanga.View attachment 1125390View attachment 1125392
View attachment 1125500
Hii ndio jezi tulioizoea kuwa ni ya Taifa hata wazungu wanaokuja kututembelea ili kuonyesha uzalendo huvaa hizi kama vazi la utambulisho wa nchi
Na wao wameweka rangi za timu yao.Kulikua kuna umuhimu wa kuleta jezi mpya?, mbona zile nyeupe zenye twiga na zile za blue ni nzuri kuliko hizi!
Katika miaka yangu yote ya kutazama mpira nimeona jezi za brazil, chile, England,spain etc ni zile zile miaka yote
umecheka nini mkuu?[emoji16]nimecheka sana
naona unaanzisha mengine mkuu. kwani atatumia jina gani mkuu kati ya yale mawiliRais awamu ya 6
Jezi ya timu ya taifa inakuwa na rangi za bendera ya taifa.Hapa tunazungumzia timu sio bendera.
Hivi wewe ndo yule swahiba au nakufananisha?Na mie pia nitanunua iko bomba kwa kweli.
Mbegu ya utengano iliyopandwa katika Taifa inaota kwa kasi sana.
Kama si Yanga na Simba basi CCM na Chadema. Kama si Ukristo na Uisilamu basi Uzanzibari na Utanganyika. Kama si Uchaga na usukuma basi ni mwanaume wa Dar na wa Mkoani.
Wakuu tusipoangalia kuna bomu kubwa sana linatunyemelea.
Hii ni kitu kidogo sana mkuu, hukupaswa hata kupeleka mawazo yako kwenye uYanga na uSimba.
Napendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napendekeza basi waweke na baraza la mawaziri lote.
Napendekeza basi waweke na baraza la mawaziri lote.