Jezi za Tanzania zasifiwa huko AFCON

Jezi za Tanzania zasifiwa huko AFCON

Basi siyo takwa la kisheria la CAF maana kuna nchi nyingine hazijaweka na point ya msingi ni utofauti wa sehemu za nyota za ubingwa zilipowekwa na pale ambapo nimeshauri TFF waweke.
Hivi unajua hata hilo neno Taifa Stars nilakutunga ? Wazo lako bado zuri na ninalikubali
 
Hivi unajua hata hilo neno Taifa Stars nilakutunga ? Wazo lako bado zuri na ninalikubali
Hahahah nafahamu hilo ila majina ya utani ya timu zote za taifa za Afrika yanatambulika na CAF, kuna makala zipo page ya CAF zinaelezea majina yote hayo na hata matangazo yao kwenye mechi wakati mwingine huwa wanayatumia hayo majina.

Unataka kusema watatuuliza kwa nini tumeweka nyota? 🤣😂🤣
 
Ukiachana na quality kimuonekano ile jezi ya blue ilikua nzuri sana. Ile yenye michirizi ya blue na njano sio mbaya ila haitupendezi ingefaa zaidi kuwa jezi ya timu ya taifa ya Rwanda, ile nyeusi ndio sijaielewa kabisaaaaaa.
Nakubaliana na wewe ingawa hizo zote zimependwa na wadau.

Nimekutana na reviews mbili tu ambazo zimeikandia hiyo jezi yenye michirizi na moja ya hizo reviews mbili ni chalii mmoja aliyeko Youtube. Nao hawajaikandia kihivyo wameona kuna sehemu ndogo imekosewa imeifanya kuwa na mambo mengi.

Nadhani ni jezi rahisi kujitenga na za wengine kwa hiyo ina faida hiyo, haifanani na jezi zingine zilizopo au zilizowahi kutoka. Iko bold sana. Tungekuwa tunaupiga mpira mwingi ile jezi ingekuwa maarufu sana.
 
Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Tumebeba kombe gani la AFCON mkuu hadi jezi iwe na nyota?
 
Hahahah nafahamu hilo ila majina ya utani ya timu zote za taifa za Afrika yanatambulika na CAF, kuna makala zipo page ya CAF zinaelezea majina yote hayo na hata matangazo yao kwenye mechi wakati mwingine huwa wanayatumia hayo majina.

Unataka kusema watatuuliza kwa nini tumeweka nyota? 🤣😂🤣
Hilo jina tulipoenda kwenye mashindano nje hatukua na jina la utani ktk kuulizana waite jina gani ..Coach Mzee Gwivaha akaropoka hawa ni Taifa Stars mtangazaji wa kigeni akapita nalo ..akawa anatangaza kwa kuwatambulisha watanzania timu yao ni taifa Stars waliopatikana kupitia michezo ya taifa cup ( ilishirikisha kila mkoa ) siku hz sioni haya mashindano
 
Hilo jina tulipoenda kwenye mashindano nje hatukua na jina la utani ktk kuulizana waite jina gani ..Coach Mzee Gwivaha akaropoka hawa ni Taifa Stars mtangazaji wa kigeni akapita nalo ..akawa anatangaza kwa kuwatambulisha watanzania timu yao ni taifa Stars waliopatikana kupitia michezo ya taifa cup ( ilishirikisha kila mkoa ) siku hz sioni haya mashindano
Ila naona kama hili jina hatujawa na bahati nalo, labda tulifanyie maboresho kidogo tuondoe gundu. Twende na "The Stars" au "The Shining Stars" au turudi kwa wanyama kama "Simba" maana timu zote zinazotumia jina hilo zinakuwaga za motooo 🤣😅🤣

Pia tumrudie Mzee Mwinyi afute ile kauli yake maana inawezekana nayo inatuandama.
 
Jezi gani hazina identify ya bendera ya nchi au jina TANZANIA? Yaani jezi limejaa maandishi ya sandaland na Tff pekee hata ukiputa nayo mtaani mtu ambaye sii Mtanzania hawezi kujua ni jezi ya nini
 
Ila naona kama hili jina hatujawa na bahati nalo, labda tulifanyie maboresho kidogo tuondoe gundu. Twende na "The Stars" au "The Shining Stars" au turudi kwa wanyama kama "Simba" maana timu zote zinazotumia jina hilo zinakuwaga za motooo 🤣😅🤣

Pia tumrudie Mzee Mwinyi afute ile kauli yake maana inawezekana nayo inatuandama.
Hili nalo neno Mkuu
 
Back
Top Bottom