Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Uzi unajieleza, ilikua ni buku mbawa tu kwa jezi huku scarf zikienda kwa jero add zero.
Nafikiri kesho vibanda umiza na sehemu za sports bar zitatamaradi.
Roho mbaya roho mbaya tu. Ujugu arena.
Kila la kheri Yanga ingawa rais wenu alivaa jezi ya Kaizer Chief siku ya game ya Simba pale kwa Mkapa.
Ni 1vs1 ama 3 ujugu. 2vs1 ishapita ile ilitimia.
Guvu moya.
Nafikiri kesho vibanda umiza na sehemu za sports bar zitatamaradi.
Roho mbaya roho mbaya tu. Ujugu arena.
Kila la kheri Yanga ingawa rais wenu alivaa jezi ya Kaizer Chief siku ya game ya Simba pale kwa Mkapa.
Ni 1vs1 ama 3 ujugu. 2vs1 ishapita ile ilitimia.
Guvu moya.