Jezi za Yanga na maandishi makalioni

Jezi za Yanga na maandishi makalioni

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kwa muda mrefu kuna watu walikuwa wameshupalia maandishi ya Mo Dewji Foundation yaliyo nyuma ya jezi ya Simba. Kejeli zikawa nyingi pamoja na kwamba maandishi hayo yapo kiunoni na si makalioni.

Cha ajabu, jezi mpya za Yanga zina maandishi makalioni kabisa pale mstari wa makalio unapoanzia ila sijasikia vilio kutoka kwa wale waliokuwa wanakejeli hapo mwanzo.

Huku ni kupevuka au tunaitaje kitaalamu?

changaule
kavulata
joseph1989
 
Picha mkuu
Mbona jezi za timu za La Liga mpaka zina bukta zina maandishi ?
Ndiyo maana walikuwa wananishangaza. Halafu wanajinasibu wanafuatilia mpira.

Hata wale waliokuwa wanadai jezi ya Simba imejaa matangazo wakaenda hadi Misri kushangaa jezi ya Al Ahly iliyo na matangazo mengi zaidi ya yale ya Simba.
 
Kwa muda mrefu kuna watu walikuwa wameshupalia maandishi ya Mo Dewji Foundation yaliyo nyuma ya jezi ya Simba. Kejeli zikawa nyingi pamoja na kwamba maandishi hayo yapo kiunoni na si makalioni.

Cha ajabu, jezi mpya za Yanga zina maandishi makalioni kabisa pale mstari wa makalio unapoanzia ila sijaona vilio vyovyote kutoka kwa wale waliokuwa wanakejeli hapo mwanzo.

Huku ni kupevuka au tunaitaje kitaalamu?

changaule
kavulata
joseph1989
Wewe ukilia inatosha.
 
Kwa muda mrefu kuna watu walikuwa wameshupalia maandishi ya Mo Dewji Foundation yaliyo nyuma ya jezi ya Simba. Kejeli zikawa nyingi pamoja na kwamba maandishi hayo yapo kiunoni na si makalioni.

Cha ajabu, jezi mpya za Yanga zina maandishi makalioni kabisa pale mstari wa makalio unapoanzia ila sijasikia vilio kutoka kwa wale waliokuwa wanakejeli hapo mwanzo.

Huku ni kupevuka au tunaitaje kitaalamu?

changaule
kavulata
joseph1989
Kapicha tafadhali mkuu.
 
Picha mkuu
Mbona jezi za timu za La Liga mpaka zina bukta zina maandishi ?

Kapicha tafadhali mkuu.
1000025336.jpg
 
Kwa muda mrefu kuna watu walikuwa wameshupalia maandishi ya Mo Dewji Foundation yaliyo nyuma ya jezi ya Simba. Kejeli zikawa nyingi pamoja na kwamba maandishi hayo yapo kiunoni na si makalioni.

Cha ajabu, jezi mpya za Yanga zina maandishi makalioni kabisa pale mstari wa makalio unapoanzia ila sijasikia vilio kutoka kwa wale waliokuwa wanakejeli hapo mwanzo.

Huku ni kupevuka au tunaitaje kitaalamu?

changaule
kavulata
joseph1989
Mataahira ya Simba yamehamisha goli tena?
 
Back
Top Bottom