Jezi za Yanga za 5-1 zinapatikana madukani

Maoni ya wadau [emoji23]

Lengo la hizi jezi la kwanza linawezakuwa ni kufanya biashara ila me nadhani lengo mama ni kuhakikisha hawapati furaha, watapatia wapi furaha kama wakipita mitaani wanakutana na jezi kama hizi [emoji23][emoji23]
 
Maoni ya wadau [emoji23]

Lengo la hizi jezi la kwanza linawezakuwa ni kufanya biashara ila me nadhani lengo mama ni kuhakikisha hawapati furaha, watapatia wapi furaha kama wakipita mitaani wanakutana na jezi kama hizi [emoji23][emoji23]
Aaaaaah
 
Maoni ya wadau [emoji23]

Lengo la hizi jezi la kwanza linawezakuwa ni kufanya biashara ila me nadhani lengo mama ni kuhakikisha hawapati furaha, watapatia wapi furaha kama wakipita mitaani wanakutana na jezi kama hizi [emoji23][emoji23]
Na la nyongeza hizi jezi zinaweza kusababisha watu fulani wakapatwa na yale magonjwa mawili yasiyo ya kuambukiza
 
Maoni ya wadau [emoji23]

Lengo la hizi jezi la kwanza linawezakuwa ni kufanya biashara ila me nadhani lengo mama ni kuhakikisha hawapati furaha, watapatia wapi furaha kama wakipita mitaani wanakutana na jezi kama hizi [emoji23][emoji23]
Washamba wakubwa...inaonyesha jinsi gani mlivyo washamba....watu wana rekodi za kuwafunga 5 kwa 0...6 kwa 0 muwape presha kweli...
Yale yale ya keki za unbeaten...
Hahahahahah....mmemuweka na Kibu Dee...mkandaji...
 
Washamba wakubwa...inaonyesha jinsi gani mlivyo washamba....watu wana rekodi za kuwafunga 5 kwa 0...6 kwa 0 muwape presha kweli...
Yale yale ya keki za unbeaten...
Hahahahahah....mmemuweka na Kibu Dee...mkandaji...
,[emoji23][emoji23] njoo GSM mall.....jezi ntakupa bure mkuu
 
Washamba wakubwa...inaonyesha jinsi gani mlivyo washamba....watu wana rekodi za kuwafunga 5 kwa 0...6 kwa 0 muwape presha kweli...
Yale yale ya keki za unbeaten...
Hahahahahah....mmemuweka na Kibu Dee...mkandaji...
Huo ni utamaduni wa kawaida sana duniani kote hasa baada timu wanapokutana kupata matokeo mazuri dhidi ya mpinzani wake wa jadi. Kwa hiyo sio ushamba
 
Maoni ya wadau [emoji23]

Lengo la hizi jezi la kwanza linawezakuwa ni kufanya biashara ila me nadhani lengo mama ni kuhakikisha hawapati furaha, watapatia wapi furaha kama wakipita mitaani wanakutana na jezi kama hizi [emoji23][emoji23]
wakinuna na wanune, sisi hayatuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…