Mzalendomorogoro
Member
- Mar 15, 2018
- 26
- 36
Kwakweli yanga wamejaribu kuteka attention za mashabiki mbalimbali kwa kusubiri jezi ambazo walisema zitakuwa bora kuliko timu yoyote ile, je Simba wataweza kuwafunika Yanga katika kuzindua jezi zao mpya siku za usonii.
Vipi wadau wa nguvu moja Msimbazi
Vipi wadau wa nguvu moja Msimbazi