Wanabishania uzuri wa jezi zetu kwenye magroup yao ya WhatsApp πSio mbaya ....au tuwafundishe
kama ya TP iviAfrican soccer zone#View attachment 3054797
Nani anataka kujichulia kifo ππOyaaaa, hakuna page iliyopost SANDA? Vibaya hivi jamani, hadi huruma sasa!
Mbumbumbu wanatoa neno sanda na kuweka majina yao badala yake, itakuwa wamechoka kutaniwa maana tabu bado iko pale pale .SANDA πππ!