Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AahhaaaaWatakubali tu hata waliotengenezewa Sanda wameanza kuelewa sisi tunachokifanya............ next season tunakazi moja tu kuchimba shimo na kufukia, Sanda tayari zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahhaaaaWatakubali tu hata waliotengenezewa Sanda wameanza kuelewa sisi tunachokifanya............ next season tunakazi moja tu kuchimba shimo na kufukia, Sanda tayari zipo
Oyaaaa, hakuna page iliyopost SANDA? Vibaya hivi jamani, hadi huruma sasa!
AahahhaView attachment 3055011
Bila ya kumsahau le patraò.
Haihitajiki akili kubwa, kuthibitisha kuwa, ni kweli, wapo wawili tu, yaani ni Baba, na JK!Oyaaaa, hakuna page iliyopost SANDA? Vibaya hivi jamani, hadi huruma sasa!
[emoji23]Unamlipa mtu mamilioni ya pesa akae chini aumize kichwa atoke na ubunifu wa hali ya Juu,mpya wa kuvutia wa Jezi ya timu.
Alafu mbunifu mwenyewe sasa, anaenda hapo mitaa ya Mbagala tu, anajua Wadosi wa Salamanda awakanyagi pande hizo za Mbagala.
anatafuta Jezi ya Mbagala Veterans anaenda kutoa Copy and paste China.
Anachokiongeza ni nembo ya Magodoro na Daima mbele nyuma mwiko.
Mazuzu yanaiona Jezi yao yanapagawa ,Jamaa noma, Jamaa noma, Jamaa noma Jamaa noma
Noma wapi nyieeeeeee,Mmepigwaa.
View attachment 3055467
Mudi mnafiki tuMudi kazipenda