Jezi za Yanga zazua gumzo Africa pages kubwa zapost

Unamlipa mtu mamilioni ya pesa akae chini aumize kichwa atoke na ubunifu wa hali ya Juu,mpya wa kuvutia wa Jezi ya timu.

Alafu mbunifu mwenyewe sasa, anaenda hapo mitaa ya Mbagala tu, anajua Wadosi wa Salamanda awakanyagi pande hizo za Mbagala.

anatafuta Jezi ya Mbagala Veterans anaenda kutoa Copy and paste China.

Anachokiongeza ni nembo ya Magodoro na Daima mbele nyuma mwiko.

Mazuzu yanaiona Jezi yao yanapagawa ,Jamaa noma, Jamaa noma, Jamaa noma Jamaa noma

Noma wapi nyieeeeeee,Mmepigwaa.

 
[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…