Jezi za Yanga zenye picha ya Kiganja cha mkono zizuiliwe, ni kejeli

Jezi za Yanga zenye picha ya Kiganja cha mkono zizuiliwe, ni kejeli

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

Screenshot_2024-07-27-22-15-12-1.png
 
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

View attachment 3054439
Wabongo kila kitu mnataka mfanyiwe. Kwanini makolo hamkuzuia msifungwe 7-2?
 
Back
Top Bottom