Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hakuna hayo magoliWabongo kila kitu mnataka mfanyiwe. Kwanini makolo hamkuzuia msifungwe 7-2?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hayo magoliWabongo kila kitu mnataka mfanyiwe. Kwanini makolo hamkuzuia msifungwe 7-2?
Kwani simba pekee ndo alifungwa 5 na yanga..? HahahPamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.
Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?
Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika
View attachment 3054439
Haya yote, Simba wameyataka wenyewe! Kejeri zooote hizi, wamezitaka wenyewe!Lengo lilikuwa hili hili kuwakera na hakika mmekereka
Acheni ushamba kuzipigia promo jezi za hovyo!Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.
Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?
Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika
View attachment 3054439
Kwahiyo unakiri kwamba Mnyama alihujumiwa?Acheni ushamba kuzipigia promo jezi za hovyo!
Waliofungwa 5 wenyewe akina chama na bakeke wanao huko huko utopoloni
Huko ni kujishtukiaa😂😂Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.
Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?
Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika
View attachment 3054439
Baelezeee😂😂,huenda Hata haina maana hiyoKwani ni Simba pekee ndo alopigwa 5 na Yanga msimu uliopita?
Mitano tena 😂😂Hizi mbwembwe zitakwisha tukiwa tunawakanda si kwa njia nyingine yoyote.
AahaaaaaaUbunifu wa kijinga, Ulaya huwezi kuona kama huo
Kwani lazima tufanane na ukata..??Ubunifu wa kijinga, Ulaya huwezi kuona kama huo
Hivi huwa kuna tatizo gani kwa mtu kushabikia chadema na hapo hapo kuwa mnazi wa simba! Naona kama inaondoa maarifa. Mfano ni Erythrocyte au OKW BOBAN SUNZU ni watu wanatema pumba tuPamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.
Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?
Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika
View attachment 3054439
Acha ulaya nao waje waige huku sio lazima kila lao lionekane zuri au la mfano huku kwetu.Ubunifu wa kijinga, Ulaya huwezi usenge kuona kama huo