Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hapana, waachwe ni ushamba tu, wakikua wataacha, hawajaamini kama inawezekana ktk sportPamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii...
Duu ila mkono umetengeneza kaurembo fulani hivi,kumbe watu wanaubunifu wa kukera?Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii...
Tumemuonya ili ajue kakoseaUbunifu wa kijinga, Ulaya huwezi kuona usenge kama huo
Ni ishara ya kusalimua yaani high, hi, (komasava)Wala sio kwa sababu ya kumfunga simba tano bila pengine labda mbunifu alikuwa anamanisha mitano tena.
Weeeeeee!!!! Binti mremboooooComasava kunjani mmeanza kulalamila ubwela fc Cc ephen_
Sio SANDA
Sio SANDA
Sio SANDA
Ubaya ubwege
View attachment 3054444
Sasa Kariakoo ni Ulaya? 😂Ubunifu wa kijinga, Ulaya huwezi kuona usenge kama huo
Wabongo kila kitu mnataka mfanyiwe. Kwanini makolo hamkuzuia msifungwe 7-2?Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.
Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?
Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika
View attachment 3054439