Jezi za Yanga zenye picha ya Kiganja cha mkono zizuiliwe, ni kejeli

Kwani simba pekee ndo alifungwa 5 na yanga..? Hahah
 
Acheni ushamba kuzipigia promo jezi za hovyo!

Waliofungwa 5 wenyewe akina chama na bakeke wanao huko huko utopoloni
 
Hizi mbwembwe zitakwisha tukiwa tunawakanda si kwa njia nyingine yoyote.
 
Huko ni kujishtukiaa😂😂
 
Hiko ni kiganja au mizizi mkuuu? Mbona unatafuta tafuta habari...
 
Hivi huwa kuna tatizo gani kwa mtu kushabikia chadema na hapo hapo kuwa mnazi wa simba! Naona kama inaondoa maarifa. Mfano ni Erythrocyte au OKW BOBAN SUNZU ni watu wanatema pumba tu
 
Ubunifu wa kijinga, Ulaya huwezi usenge kuona kama huo
Acha ulaya nao waje waige huku sio lazima kila lao lionekane zuri au la mfano huku kwetu.
Ulaya wana hovyo kuliko hii ya kiganja. Hapa juzi EURO 2024 uliona zile rangi 7? Je zile ni bora kuliko kiganja kwakua ziko ulaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…