Sikia binti yangu, wakati kijana mwenzako Mshana Jr kaandika anachojua hebu weka udambwi dambwi wako wa nje/ndani kuhusu biashara hiyo.Hiyo kizamani na kijinga sana, tuulize wazaliwa wa Kariakoo tukufahamishe michezo ya mjini.
Basi waziri wa michezo anayajua yote maana naona yupo kimyaHakuna. Kwenye hii hawamo ingawa wao nao wana michezo yao.
Mkuu hapa ndo kwenye tatizo. Ukisema sio mmiliki ni msafirishaji definitely nae anahusika kwakuwa anachokisafirisha sio Mali halali. Counterfeit ni kosa kubwa, kuhusika kwa namna yoyote ile ni kosa nawe unatumbukia humo, hiyo ni mbali na mzigo feki kukutwa kwako (ndani ya yard yako).
Ulizeni kwa heshima na adabu. Mtakoma leo, mwenye turufu mimi.Sikia binti yangu, wakati kijana mwenzako Mshana Jr kaandika anachojua hebu weka udambwi dambwi wako wa nje/ndani kuhusu biashara hiyo.
Kwa sababu unekulia mitaa hiyo, funguka usilete taflani.
Si muongo huyo, ukimbamba muongo lazima aumuke kama hamira ya Pombe ya mtama.Umepanik braza
Wako bize na maokotoWatoto wa mjini
Mwaga ukwel kipenz changuSi muongo huyo, ukimbamba muongo lazima aumuke kama hamira ya Pombe ya mtama.
Nyie vijana[emoji23]
GSM anahusika kivipi mkuu hapo,tudadavulie kidogo?Ngoma ngumu hii naona kama GSM kahusika ndio maana Mwanahabari wa yanga kaamua kwenda kwenye hayo makontena wakajisafishe mapema kama hausiki vile
Mtoto wa mjini certified humu ndani ni mrangi tu[emoji28]Hahaaaaa akina mrangi . Jamaa nampendaga sana kwa comments zake za watoto wa mjini Dar. Jamaa ni born town kweli.
Mpaka Sasa hujasema unachokijua kuhusu Hilo sakata zaidi ya kuleta ujuaji na kimbelembele[emoji28]Hakuna.
Game la hapo hapo Kariakoo Hilo, tuulizeni tuwajulishe.
Maana hata tukiyaweka wazi hakuna wa kuwafanya kitu waliocheza hiyo game.
Msafirishaji anspataje doa kwa kusafirisha mzigo fake!?Mshana GSM na Silent Ocean Ndo wako nyuma ya hii kitu ili kumtia doa mpinzani wao Wa usafirishaji TOSH CARGO.Hii kitu ipo planned.
So unakunywa chai salamander na wewe[emoji28]Wrong number, jaribu tena baadae.
Unamtishia nyau kwa dagaa?
Tena kwa kukujuza tu, wwlw usioate tabu, leo nipo Kariakoo. Unapajuwa alipokaribishwa jana Makonda? Jengo refu linalofatia nipo hapo.
Nafahamu hupajuwi wala hujawahi kufika mitaa hiyo, unaposoma JF tu
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.Mpaka Sasa hujasema unachokijua kuhusu Hilo sakata zaidi ya kuleta ujuaji na kimbelembele[emoji28]
Atoe wapi udambwi udambwi huyu ajuza anachojuaga yeye ni kukosoa tu hata vitu asivyovijua. Kiufupi attitude yake ilishaoza na si mtu wa kumuendekeza she is so toxic. Nahisi hata watoto wake walishamkimbia kama anaoSikia binti yangu, wakati kijana mwenzako Mshana Jr kaandika anachojua hebu weka udambwi dambwi wako wa nje/ndani kuhusu biashara hiyo.
Kwa sababu unekulia mitaa hiyo, funguka usilete taflani.
Salamander bado ipo? Unaota?So unakunywa chai salamander na wewe[emoji28]