Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Ok lakini Tosh sio mmiliki ni msafirishaji tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa ndo kwenye tatizo. Ukisema sio mmiliki ni msafirishaji definitely nae anahusika kwakuwa anachokisafirisha sio Mali halali. Counterfeit ni kosa kubwa, kuhusika kwa namna yoyote ile ni kosa nawe unatumbukia humo, hiyo ni mbali na mzigo feki kukutwa kwako (ndani ya yard yako).
Kama hana kosa basi kusafirisha bangi si kosa
 
Sikia binti yangu, wakati kijana mwenzako Mshana Jr kaandika anachojua hebu weka udambwi dambwi wako wa nje/ndani kuhusu biashara hiyo.

Kwa sababu unekulia mitaa hiyo, funguka usilete taflani.
Ulizeni kwa heshima na adabu. Mtakoma leo, mwenye turufu mimi.

Huyo Fala anadanganya watu eti yeye mchawi, hana alijuwalo hata chembe.

Kuna mchawi akafanya kazi mlinzi wa mochwari?
 
Nyie vijana[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So unakunywa chai salamander na wewe[emoji28]
 
Sikia binti yangu, wakati kijana mwenzako Mshana Jr kaandika anachojua hebu weka udambwi dambwi wako wa nje/ndani kuhusu biashara hiyo.

Kwa sababu unekulia mitaa hiyo, funguka usilete taflani.
Atoe wapi udambwi udambwi huyu ajuza anachojuaga yeye ni kukosoa tu hata vitu asivyovijua. Kiufupi attitude yake ilishaoza na si mtu wa kumuendekeza she is so toxic. Nahisi hata watoto wake walishamkimbia kama anao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…