Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mnamponda bure tu yule bibi FaizaFoxy ila kiukweli kama born town kweli huu mchezo mrahisi sana,nikuondoe hofu wa GSM kuhusika na huu mzigo,mzigo umeingizwa nchini na kampuni tosh logistic na hizo jezi zimekamatiwa kwenye godown la tosh ambayo ni kampuni pinzani na silent ocean logistic ya GSM,watoto wa mjini π kwa mbali tunanusa harufu ya GSM kuwa nyuma ya kusanua hizi jezi fake ili ampoteze mshindani wake kibiashara,mwenye jezi anajulikana na cheni yake ikiwekwa hadharani ni aibu ndio hata waziri mwenyewe anajiuma umaHao ni madon wa nchi wanaokula na kushirikiana pamoja na vigogo wa serikalini.
Mmoja wapo ni GSM huyu ninamashaka naye sana
Nani akuheshimu wewe zaidi ya kujitongozesha Kwa vijana.Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Uliza kwa heshima na adabu, huongei na poyoyo mwenzio hapa.
Nimesema hili Kabla nikapingwaMnamponda bure tu yule bibi FaizaFoxy ila kiukweli kama born town kweli huu mchezo mrahisi sana,nikuondoe hofu wa GSM kuhusika na huu mzigo,mzigo umeingizwa nchini na kampuni tosh logistic na hizo jezi zimekamatiwa kwenye godown la tosh ambayo ni kampuni pinzani na silent ocean logistic ya GSM,watoto wa mjini [emoji23] kwa mbali tunanusa harufu ya GSM kuwa nyuma ya kusanua hizi jezi fake ili ampoteze mshindani wake kibiashara,mwenye jezi anajulikana na cheni yake ikiwekwa hadharani ni aibu ndio hata waziri mwenyewe anajiuma uma
GSM hapo uhusika wake kumtia doa tosh cargo lakini awahusiki na huo mzigo,tosh amtaje mwenye mzigo,GSM hapo kacheza part yake kwa kuua ndege 2 kwa jiwe 1,kumsambaratisha tosh na vile vile kukomesha walanguza wa jezi fakeMshana GSM na Silent Ocean Ndo wako nyuma ya hii kitu ili kumtia doa mpinzani wao Wa usafirishaji TOSH CARGO.Hii kitu ipo planned.
Kumbe mnaowatongoza hamuwaheshimu?Nani akuheshimu wewe zaidi ya kujitongozesha Kwa vijana.
MTU mzima kisheti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Punguza upuuzi wee mwanaizaya.. Uulizwe wewe unachojua ninini? Mbona umepakimbia sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tosh ni msfirishaji,msfirishaji lazima atamjua mteja wake anaemsafirishia mzigo,kama mteja wake ni GSM angeshamtaja maana ni washindani wake
Anawajua wenye mzigo wao ndio maana anajiuma uma πTanzania yangu.! Ukimuangalia waziri mbele ya kamera kwenye Hili suala, utashikwa na huruma. Hajui ashughulike na kipi. Anawauliza maswali waathirika kana kwamba ndo walioingiza jezi Kisha kuziita feki.ππ
Hatasema hata nukta mojaMpaka Sasa hujasema unachokijua kuhusu Hilo sakata zaidi ya kuleta ujuaji na kimbelembele[emoji28]
Ila mbona huyu ajuza unayejaribu kumtetea amesema GSM hahusiki?Mnamponda bure tu yule bibi FaizaFoxy ila kiukweli kama born town kweli huu mchezo mrahisi sana,nikuondoe hofu wa GSM kuhusika na huu mzigo,mzigo umeingizwa nchini na kampuni tosh logistic na hizo jezi zimekamatiwa kwenye godown la tosh ambayo ni kampuni pinzani na silent ocean logistic ya GSM,watoto wa mjini [emoji23] kwa mbali tunanusa harufu ya GSM kuwa nyuma ya kusanua hizi jezi fake ili ampoteze mshindani wake kibiashara,mwenye jezi anajulikana na cheni yake ikiwekwa hadharani ni aibu ndio hata waziri mwenyewe anajiuma uma
Ndio maama nikasema hii ni michezo ya kariakooTosh ni msfirishaji,msfirishaji lazima atamjua mteja wake anaemsafirishia mzigo,kama mteja wake ni GSM angeshamtaja maana ni washindani wake
GSM ahusiki na mzigo,inasadikika anahusika na usnitch kumchoma tosh logistic maana GSM ni mshindani wake kwenye usafirishaji
Yeah najua ila kahusika kwenye u snitchGSM ahusiki na mzigo,inasadikika anahusika na usnitch kumchoma tosh logistic maana GSM ni mshindani wake kwenye usafirishaji
Kuna jamaa niliwasanua kuwa hii issue ipo very secrets kwa muda mrefu Tu ila kuna kajanja kawachoma na wamekinukisha sasa wahusika wamekaa pembeni wanasubir Mchezo uishe huku wakiendelea kupanga matokeo nyuma ya panzia TANZANIA ujanja ni mwingi.....Labda tunaweza kuziita feki (bandia) kutokana na ubora usiokidhi viwango.. Lakini kubwa ni kwamba mwenye dhamana ya kuziagiza hajatoa kibali kwa mwingine yoyote kuagiza kusambaza na kuuza
Kilichotokea Kariakoo ni uleule umafia ubabe na ushushushu wa biashara za pale mahali unaofanywa na ma tycoon, madon na makontawa wenye pesa zao ndefu na wenye connection mpaka ndani kama sio juu kabisa
Hawa ma tycoon na madon wana nyoka wao mashushushu wanaowaletea taarifa kila bidhaa mpya ama ya msimu inapokamata soko.. Na hawa hucheza na timing ya Mwenyezi mzigo husika. Wao wanachotaka ni sample tu ya mzigo halisi ama soft copy yake
Wewe mwenye mzigo wako unapopanda ndege uende ukaandae oda yako izalishwe wenzako wanakuwa wameshafikisha kila kitu huko kupitia nyoka wao walioko huko
Kwenye hizi biashara kubwa za Kariakoo zinazotegemea kuzalishwa kwa oda huko nje kuchelewa siku moja tuu umechelewa mno! Kwahiyo unapofika huko (mostly China) kuelewana bei mpaka kuanza uzalishaji unaweza kuchukua si chini ya siku mbili ukijumlisha na mbili za safari ni siku nne
Huo ni muda mwingi mno kwa waliokwisha kutangulia... Kwahiyo kwa kila hatua wewe utaachwa nyuma si chini ya wiki moja
Huku ukiwa hujui kinachoendelea unafanya fasta ili ukawe wa kwanza kuingiza mzigo sokoni lets say container za ko 3 au 4 hivi!.. Wakati mzigo wako umefika bandarini unajiandaa kuutoa mara unapata taarifa ama unaona mzigo kama huo huo tayari uko sokoni tena kwa bei poa zaidi..[emoji23]
Umeingiza container 4 mwenzako kaingiza 10 na kashaweka mzigo sokoni.. Usipokuwa na roho ngumu unaweza kujinyonga! Sasa hapo uchaguzi ni wako uuze sawa na yeye, au umuuzie yeye mzigo wote kwa bei atakayokupangia ama ubaki na mzigo wako ukudodee.. Hiki kwa vyovyote ndio kilichompata Sandaland lakini yeye pengine kakataa unyonge kaamua kukisanua!
Maswali muhimu sana!
1. JE WAHUSIKAN WATACHUKULIWA SHERIA?
2. Je mzigo utataifishwa na kuharibiwa?
3. Je mzigo utauzwa kwenye mnaba na kuachwa uingie sokoni?
Swali namba 1.
Mpaka sasa mamlaka akiwemo Sandaland mqenyewe wameshikwa na kigugumizi kumtaja mhusika! Hili si gumu na halihitaji uchunguzi mkubwa kwakuwa mzigo umeagizwa kupitia nyakara zote halali
Bank account
Jina la muagizaji
Mahali mzigo unapoenda
TIN ninja.. Sasa kuna uzito gani kumuweka wazi mhalifu?
Swali no 2
Je mzigo utataifishwa na kuharibiwa? Hapa kesi ikienda mahakamani pengine kunaweza kujitokeza mambo ya hakimiliki na patent copyright .. Kama ikithibitika mzigo hauna nyaraka halali za umiliki na malighafi iliyotumika ni chini ya viwango kuna uwezekano mkubwa mzigo kutaifishwa na kuteketezwa
Swali no 3
Je utauzwa kwenye mnada na kuachwa uingie sokoni?
Hapa hili linaweza kutokea kama ikithibitika material iliyotumika ni bora inakidhi viwango ila tu kuna shida kwenye nyaraka za umiliki (patent copyright)
Hapa kuna mengi
Mwenyezi patent copyright anaweza kupewa haki ya kuununua mzigo na kama akishindwa ukauzwa kwa mnada kwa mwenye uwezo
Hiki ndio kinasubiriwa na hao madon.. Kwasasa wako kimya wanasoma mchezo huku wakicheza michezo nyuma ya pazia..
Hii ni mojawapo ya sinema za kuvutia kariakoo kama ile ya vitenge na ni ngumu kutabiri mwisho wake
Je sterling atakufa? Usikose part 2
Zaidi soma: Umafia, ubabe na ujasusi wa biashara za Kariakoo | Page 18 Umafia, ubabe na ujasusi wa biashara za KariakooView attachment 2794379
Sent using Jamii Forums mobile app
Sandaland anamjua vizuri na si sandaland tu,cartels wa kuuza jezi fake TZ wanajulikana vizuriYani ukute hata sandaland anajua hilo diliii π π π π
kale kasemaji ka yangaa naona kanataka kuwa serious maboss wanakazoom tu hapoo π πSandaland anamjua vizuri na si sandaland tu,cartels wa kuuza jezi fake TZ wanajulikana vizuri