Yule ni mharibifu popote ila keshadhibitiwa uzi utaenda vema sasaUzi umeharibiwa vibaya sana pengine Kuna ukweli ilikuwa unafichuliwa na mzee wa kingilinge, Bibi akaja kuchafua hali ya hewa kwakuwa ana maslai yake ya moja kwa moja.
Ukifukunyua sana hii ishu ina mazonge ya kutoshaHilo godown ni Bonded Custom warehouse?najiuliza sana inakuwaje mzigo ambao ni Local utoke bandarini bila kulipiwa kodi na ukawekwe godown ambalo sio Bonded Custom.
Matajiri wa bongo 90% ni wapigaji wenye kinga na connection toka juu mpaka ndaniKuna jamaa niliwasanua kuwa hii issue ipo very secrets kwa muda mrefu Tu ila kuna kajanja kawachoma na wamekinukisha sasa wahusika wamekaa pembeni wanasubir Mchezo uishe huku wakiendelea kupanga matokeo nyuma ya panzia TANZANIA ujanja ni mwingi.....
Mwambie ally kamwe huwenda alikuwa anapambana na boss wake..
Huwez elewa hii
Mtu na mpenziwe ,ngoja nikalime kabustani langu Annex huku aliniachia baba nikatunze wakti yeye anaenda ChamwinoPunguza upuuzi wee mwanaizaya.. Uulizwe wewe unachojua ninini? Mbona umepakimbia sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo anapenda sana vivulana mpaka anavialika vintongoze wakati mimi nipo[emoji35]Mtu na mpenziwe ,ngoja nikalime kabustani langu Annex huku aliniachia baba nikatunze wakti yeye anaenda Chamwino
Yanga na azam wako serious na hii issue hawana maokoto na huu mzigo,ila upande flan lazima unyuti maana ya 85% ya wauza jezi fake wako upande huokale kasemaji ka yangaa naona kanataka kuwa serious maboss wanakazoom tu hapoo 😀 😀
Utakufa bure mzee wangu🤣🤣🤣🤣🤣 muachage tu, njoo kipo kipande ukiweza kupitia ile barabara ya chini aliefunga baba muoga bwana yuleTatizo anapenda sana vivulana mpaka anavialika vintongoze wakati mimi nipo[emoji35]
Anyway mama kuna kibustani cha ziada huko tujuzane
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Utakufa bure mzee wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] muachage tu, njoo kipo kipande ukiweza kupitia ile barabara ya chini aliefunga baba muoga bwana yule
Hakuna unalojua wewe bibi. Kaa lea wajukuu wako na uwafundishe mambo ya dini yako.Hiyo kizamani na kijinga sana, tuulize wazaliwa wa Kariakoo tukufahamishe michezo ya mjini.
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.Hakuna unalojua wewe bibi. Kaa lea wajukuu wako na uwafundishe mambo ya dini yako.
Kumtaja mtu mwenye mzigo kama ule unatakiwa nawe uwe fit sana.. Kwakuwa utakuwa tayari umetangaza vita ya visasiDaah hizi mambo ni ngumu sana kudiki nazo
Ila sandaland Jana aliahidi ktaja mwenye mzigo .....but naona kimya
Utalifanya nini na wakati ushakuwa bibi nguvu masikini unatembelea kiharusi. We endelea kukaa nyumbani kulea wajukuuAhsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Huo mstari wa kwanza umeandika nini?.Iumbe mnaoqatongiza hamuqaheshimu?
Ndiyo maana mnaishia kunyanduwana makaburini na wale vinuka mikojo uliochanganyika na ushuzi.
Serikali hakuna wasilolijuwa.Inabidi uisaidie serikali ili tukomeshe huu uhuni
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ahsante wa taarifa, tutaifanyia kazi.Utalifanya nini na wakati ushakuwa bibi nguvu masikini unatembelea kiharusi. We endelea kukaa nyumbani kulea wajukuu
Huyo bibi hana anachojuwa kuhusu soko la kariakoo na wazee wa misheni town ndani yake.Mnamponda bure tu yule bibi FaizaFoxy ila kiukweli kama born town kweli huu mchezo mrahisi sana,nikuondoe hofu wa GSM kuhusika na huu mzigo,mzigo umeingizwa nchini na kampuni tosh logistic na hizo jezi zimekamatiwa kwenye godown la tosh ambayo ni kampuni pinzani na silent ocean logistic ya GSM,watoto wa mjini [emoji23] kwa mbali tunanusa harufu ya GSM kuwa nyuma ya kusanua hizi jezi fake ili ampoteze mshindani wake kibiashara,mwenye jezi anajulikana na cheni yake ikiwekwa hadharani ni aibu ndio hata waziri mwenyewe anajiuma uma
Faiza fixHiyo kizamani na kijinga sana, tuulize wazaliwa wa Kariakoo tukufahamishe michezo ya mjini.