JF apatikane mdau anunue hii sehemu tuwe tunakwenda vacation

JF apatikane mdau anunue hii sehemu tuwe tunakwenda vacation

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Niliitoa sehemu, JF tycoon mmoja anunue.
Screenshot_20230405-111307.jpg


Naomba mnunue jamani ntie wanaume tafadhali
 
Ningeinunua kama ni mtende
Hapo kila mwaka inashuka centimeters kadhaa sasa hata Beckham kanipigia anataka auze flat yake nikamwambie mimi sio fala
 
Nunua twende nitakuwa napika chai na kahawa
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]
Ntakutafuta usijali bora nimepata wa kunipa kampani ila hapo tutazama sitaki mtoto mzuri kama wewe tuzame kama Titanic huku unaniangalia nameza vibaba

Wewe huwezi kunipikia utakuwa na wafanyakazi wa shughuli hizo au sio
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]
Ntakutafuta usijali bora nimepata wa kunipa kampani ila hapo tutazama sitaki mtoto mzuri kama wewe tuzame kama Titanic huku unaniangalia nameza vibaba

Wewe huwezi kunipikia utakuwa na wafanyakazi wa shughuli hizo au sio
Ewaaaa umepatia kabisa hapo hatuwez zama pafupi sana wametengeneza vizuri
 
Akijitokeza nikatwe mikono.. Watu wanaomiliki villas kama hizo ni watu wenye dili za hatari...
 
Back
Top Bottom