Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Niliitoa sehemu, JF tycoon mmoja anunue.
Naomba mnunue jamani ntie wanaume tafadhali
Naomba mnunue jamani ntie wanaume tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakununulia huwe unaenda kuongea umbeya na mashosti zako kila mwisho wa mweziNiliitoa sehemu, jf tycoon mmoja anunue.
View attachment 2577091
Naomba mnunue jaman ntie wanaume tafadhali
Nunua twende nitakuwa napika chai na kahawaNingeinunua kama ni mtende
Hapo kila mwaka inashuka centimeters kadhaa sasa hata Beckham kanipigia anataka auze flat yake nikamwambie mimi sio fala
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]Nunua twende nitakuwa napika chai na kahawa
Ewaaaa umepatia kabisa hapo hatuwez zama pafupi sana wametengeneza vizuri[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]
Ntakutafuta usijali bora nimepata wa kunipa kampani ila hapo tutazama sitaki mtoto mzuri kama wewe tuzame kama Titanic huku unaniangalia nameza vibaba
Wewe huwezi kunipikia utakuwa na wafanyakazi wa shughuli hizo au sio
Wewe ndio umeniweza Mwananchi BKwani baba Edina anasemaje?
Tujenge na sisi kama hiyo kituNaomba mnunue jamani ntie wanaume tafadhali
Thank you Mmasai wange @sumbaim😘😘😘I will buy for u Bantu Lady