Jf-arusha wing...safari updates


hii inatia moyo sana.....kwa taarifa tu kidogo ni kwamba saa hii ndio tumeachana....tulikuwa na kikao kitamu mnoooooo......kwa kweli mimi binafsi sikutaka kiishe....lakini kutokana na majukumu imebidi.....ila big up sana kwa wote walioshiriki....na hata ambao hamkuwepo tuliwawakilisha........JF NI ZAIDI YA KEYBOARD.....luv you all
 
Preta, Wiselady, Derimto, Crashwise, Pelosi, Fimbo ya Mnyonge, Lilyflower, Mzee wa Rula, HMethod, Chpukizi(all the way from U.S.A),naomba mniambie kama mlifika salama jana, maana ile ilikuwa baaaaab kubwa...
Thanx you guys so much for all the enjoyable moments that we shared...Nimewakubali A-Town kuna vichwa!...
 
Kazi iliyopo mbele yetu bado ni kubwa guys, so bado sana tunahitajiana one way or another...Kwa wale ambao hawakufanikiwa kuja napenda kuwataarifu kwa pamoja kwamba nilipata excuses zenu, na niliziwakilisha kikaoni...
 
Pia hii ni taarifa kwa umma wa JF, hasa kwa walioko mbali na hapa lakini wanatarajia kushiriki, kwamba mipango inasukwa ya ukweli na uhakika juu ya safari yetu, na hadi sasa tumefikia mahali ambapo karibia kila kitu kimeshawekwa sawa..
 
Pia hii ni taarifa kwa umma wa JF, hasa kwa walioko mbali na hapa lakini wanatarajia kushiriki, kwamba mipango inasukwa ya ukweli na uhakika juu ya safari yetu, na hadi sasa tumefikia mahali ambapo karibia kila kitu kimeshawekwa sawa..
Good Job PJ &Co.
JF ni Zaidi ya keyboard:A S-alert1:
 
Good Job PJ &Co.
JF ni Zaidi ya keyboard:A S-alert1:
Sure broda..
Arusha tumeanza rasmi jana kuona matunda ya ushirikiano...Nimeamini anything under the sun can be made possible in the presence of my JF-boys and girls!
 

PJ.sasa nimeelewa kwa nini baadhi ya wana jamvi huamua kabisa hata kuoana maana nimeiona familia tamu sana na sikutamani kuiacha ETI KAMA HI HIVI SI KUWE NA KIKAO KILA SIKU JIONI!!!!!!!!!
 
PJ.sasa nimeelewa kwa nini baadhi ya wana jamvi huamua kabisa hata kuoana maana nimeiona familia tamu sana na sikutamani kuiacha ETI KAMA HI HIVI SI KUWE NA KIKAO KILA SIKU JIONI!!!!!!!!!
Mkuu DERIMTO..
Jana ulipata kamoja ka ukweli nini pale?..
Tuambie bana ili tuungamishe vikao palepale!..😛arty:
 
UUUUWIIII natamani kuwepo ndani ya jiji tarehe hiyo, kwetu ni pale shiri matunda, lakini huku nilipo bado viwanja vya ndege vimefungwa sababu ya barafu, sidhani kama wanaweza kufungua kabla ya muda huo, lakini hata kama sitakuwa na nyie kimwili nitakuwa na njie kiroho, "i wish you all the best"
 
Mkuu DERIMTO..
Jana ulipata kamoja ka ukweli nini pale?..
Tuambie bana ili tuungamishe vikao palepale!..😛arty:

Tulivyondelea na Wiselady ni siri yetu ila ni hot, Preta nachanganyikiwa, Liliflowers tumeotana nadhani lunch ntakuwa naye, Pelosi kaniganda akilini. Nisaidieni kurusha shilingi jamani!!!!!!!
 
Yaani ningelijua mapema juu ya hii safari nisingelienda kijijini kula X-Mas......................sasa sina la kufanya..............poor me............
 
Yaani ningelijua mapema juu ya hii safari nisingelienda kijijini kula X-Mas......................sasa sina la kufanya..............poor me............

Rutashubanyuma..
I told you via PM well before yesterday!...
Usitutenge mkuu wetu...i hope you dont hate any of us!
 
Ooohh..
Pole Major!...angalia hiyo barafu isikugandishe!
Sababu yako ni ya kiufundi zaidi, na sikushauri ulazimishe mambo, ngojea wakati muafaka tu!
Tunashukuru kwa kuwa pamoja nasi kwa sala na maombi...!
 
Tulivyondelea na Wiselady ni siri yetu ila ni hot, Preta nachanganyikiwa, Liliflowers tumeotana nadhani lunch ntakuwa naye, Pelosi kaniganda akilini. Nisaidieni kurusha shilingi jamani!!!!!!!
Hapo kwenye nyekundu unanitafuta bifu...lol
 
Tulivyondelea na Wiselady ni siri yetu ila ni hot, Preta nachanganyikiwa, Liliflowers tumeotana nadhani lunch ntakuwa naye, Pelosi kaniganda akilini. Nisaidieni kurusha shilingi jamani!!!!!!!
Mkuu, kumbe ndo ule mbadilishano wa namba za simu uliochukua muda mwingi wa Mwenyekiti na kurefusha kikao...OOOhhh Goshhhhh!:hungry:!
Sasa Mkuu utafanza fanza vipi maana unaonyesha hujiwezi kwa wote hao wa4?...
Ushinde moyo bana...komaa na yule yule aliyekuwa anakunywesha ile Martins!
Mlitufurahisha sana mkuu!..lol!
 
Hope she is not WL!!! teh teh teh!!
Mkuu, pole sana, maana uko mbali...Ndio shida yenu watu wa kabila la akina Ndeshikurwa na Ndesario kuwaacha akina nanihiino wao huku mkoa!...Mi sitaki kugombanisha watu bana...Lakini una shing' ngapi nikupe siri kwa PM?!
 

Pj tutafanya mchujo wa awali nikisaidiwa nawe mwenyekiti wangu halafu wakibaki wawili tutarusha shilingi ila kwa wale wasiowajua pole zao labda nimwage sifa zao chache zinazo fanana ni wadada waelewa, wacheshi, wastaarabu, wana upendo kwa wote, elimu nayo sii haba, wanajali Preta alinidrop home mengine offline.
 
Tulivyondelea na Wiselady ni siri yetu ila ni hot, Preta nachanganyikiwa, Liliflowers tumeotana nadhani lunch ntakuwa naye, Pelosi kaniganda akilini. Nisaidieni kurusha shilingi jamani!!!!!!!

Hapo kwenye nyekundu unanitafuta bifu...lol

Mkuu, pole sana, maana uko mbali...Ndio shida yenu watu wa kabila la akina Ndeshikurwa na Ndesario kuwaacha akina nanihiino wao huku mkoa!...Mi sitaki kugombanisha watu bana...Lakini una shing' ngapi nikupe siri kwa PM?!
Hahaha Mkuu naona hapo juu hii ni sababu nyingine itakayonifanya nisikose hii trip ili kulinda mali zangu! Naona Crashwise na Derimto wameanza kutoana ngeu! :whoo:
 
Hahaha Mkuu naona hapo juu hii ni sababu nyingine itakayonifanya nisikose hii trip ili kulinda mali zangu! Naona Crashwise na Derimto wameanza kutoana ngeu! :whoo:
Nakushauri broda kweli kabisa uwepo...Kwa kutizama mazingira, nakutabiria shida kwenye uchumba wenu na WL, maana alikuwa anamnywesha Martins Derimto, huku akipewa airtime na Crashwise...!
Njoo tu mkuu, mi siri zingine sikwambii, watu wazima sisi bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…