Jf-arusha wing...safari updates

Jf-arusha wing...safari updates

UUUUWIIII natamani kuwepo ndani ya jiji tarehe hiyo, kwetu ni pale shiri matunda, lakini huku nilipo bado viwanja vya ndege vimefungwa sababu ya barafu, sidhani kama wanaweza kufungua kabla ya muda huo, lakini hata kama sitakuwa na nyie kimwili nitakuwa na njie kiroho, "i wish you all the best"

Karibu sana Major. Ukipanda kidogo unafika Sambarai ndo kwetu hapo
 
ijumaa tutakuwepo mkuu nimeshamwambia na wenzangu tunaofahamiana hapa arusha, nii wazo jema saaana kufahamiana
 
Pj tutafanya mchujo wa awali nikisaidiwa nawe mwenyekiti wangu halafu wakibaki wawili tutarusha shilingi ila kwa wale wasiowajua pole zao labda nimwage sifa zao chache zinazo fanana ni wadada waelewa, wacheshi, wastaarabu, wana upendo kwa wote, elimu nayo sii haba, wanajali Preta alinidrop home mengine offline.

Derimto usinifanye niwashe kibajaji changu nije A town tarehe 17. Yaani mate yandondoka. Angalieni msiharibu mipango. Man I cant wait that date!
 
Arusha team, you just rock !!
Hongera saana PJ, Preta and the rest of the team kwa kuibua jambo jema sana. Nawatakia mafanikio ya hali ya juu.

Next time niko pande za huko..... nitawajulisheni.
Merry chrismas!
 
ijumaa tutakuwepo mkuu nimeshamwambia na wenzangu tunaofahamiana hapa arusha, nii wazo jema saaana kufahamiana
fEEL AT HOME...
Tutakuwepo kuwakaribisha...
Best wishes is what we pray for you.
 
Derimto usinifanye niwashe kibajaji changu nije A town tarehe 17. Yaani mate yandondoka. Angalieni msiharibu mipango. Man I cant wait that date!
Chelewa chelewa hiyo mkuu...utakuta mwana ashatwaliwa!
Hiyo bajaj iwekee injini ya Volkswagen, ndio huenda ukawahi kabla hawajaisha!
 
Arusha team, you just rock !!
Hongera saana PJ, Preta and the rest of the team kwa kuibua jambo jema sana. Nawatakia mafanikio ya hali ya juu.

Next time niko pande za huko..... nitawajulisheni.
Merry chrismas!
Be blessed!
Thanx for appreciation.
U r welcome.
 
Aaah... si unajua hawa vijana wa siku hizi wanasahau sana... wasamehe lakini, hakijaharibika kitu

Nikishindwa kabisa, nitamwambia St. RR au Kimey ampitie Sr. Magdalena aje kuniwakilisha
Nina mashaka sana na upako alionao sr.Magdalena, maana jumapili hii ulimtuma kwenye jumuia ndogondogo ya Mt. Yusufu wa Arimataya, akashindwa kusalisha sala ya Malaika wa Bwana'!
 
Nina mashaka sana na upako alionao sr.Magdalena, maana jumapili hii ulimtuma kwenye jumuia ndogondogo ya Mt. Yusufu wa Arimataya, akashindwa kusalisha sala ya Malaika wa Bwana'!
Mimi huku jamii kuna vituko sana. Malaika wa Bwana inasaliwaje mkuu! Big up brother
 
Hii ni optional zaidi..unaweza fanya hivyo au waweza pata kampani hukuhuku. shida ni kwamba hao wanamgombania WL kwasababu mume wake ni MZUNGU, na wanadhani watapata URITHI huyo mzungu akipatwa na lolote!!
Kweli kikulacho kiguoni mwako, mwenyekiti kaaumua kutu kuharibu....
lakini yote haya tutayajua mwisho wake tarehe 27-12-2010 ndiyo tutajua nani ni nani atakae kosa sizani kama na lake litakuwepo...
 
Tuko pamoja kaka ila niko safari kwa sasa. sasa hiyo tarehe 27/12/2010 kikao ni wapi?

naomba namakubaliano yote ya vikao tupate maazimio yetu.
 
Tuko pamoja kaka ila niko safari kwa sasa. sasa hiyo tarehe 27/12/2010 kikao ni wapi?

naomba namakubaliano yote ya vikao tupate maazimio yetu.

kikao kinachofuata ni tar 17/12 wasiliana na PJ kwa ajili ya venue
 
Asante kwa taarifa.............................Kaizerrrrrrrrrrrr!!!????????????? where r yuuuuuuuuuuuuuu?
 
Wana-JF wa Arusha,

Wababa :Enda-Subhai!
Wamama :Endakwenya!
Wote :Subhati Ngerai, habari-ya-Ngaji?..Engai Engoitoi!...poleni sana!

Wapendwa,

Nia yangu si ubaguzi wa Makabila au maeneo, lakini kama mjuavyo, Maasai ndio mila/kabila PEKEE linalojaribu kushindana na kasi ya mabadiliko yaliyoasisiwa na ujio wa wageni nchini!

Nia ya post hii ni kuwajulisha wana-JF wa Arusha na maeneo ya jirani kwamba kuelekea mwisho wa mwaka 2010 tuna Mpango Kabambe wa kuasisi mijumuiko ya kijamii, ambapo kwa kufanya hivyo tutakuwa tunatekeleza kwa vitendo upiganiaji haki wetu, ambao kwa bahati mbaya umekuwa kimabandiko-zaidi kuliko uhalisia..Charity begins home...na tuanze sisi wenyewe kuonyesha kwamba mambo haya yanaweza kubadilishwa na kutendewa kazi ya kuonekana kwa macho...lets go substantial!

Jana (9/12/2010-Uhuru wa Tanganyika) wana-JF kama 5 wa hapa Arusha, tukiwa na m-JF mgeni toka Dar tulikutana mahali kwaajili ya kufahamiana na kubadilishana mawazo, tukagundua kwamba ni jambo jema sana kukaa pamoja na kuongea, na hatimaye tukaona umuhimu wa kufanya kitu cha kirafiki.

Tuliazimia kuwa tu'organize safari ya kutembelea mbuga yoyote ya wanyama iliyoko pande za huku kama ambavyo tutakubaliana, kabla ya Krismas, yaani kati ya tarehe 15-23/12/2010...

Tumegundua kuwa Arusha kuna members wengi sana(huenda kuliko Dar:grouphug🙂...!
Kwa members wote mtakaokuwa interested, tafadhali aidha onyesheni kwenye bandiko hili, au nitumieni PM, ili pamoja na mengine tufanye kikao cha awali cha logistics.

NB:
Members wa nchi nzima mtakaokuwa Arusha/Moshi kwaajili ya X-MAS au LIKIZO au vyovyote mnakaribishwa sana ili tuungane pamoja!
Ngongo.. Rutashubanyuma, na wengineo, tunahitaji sana inputs zenu!

UPDATE 1:
Mkuu Maxence Melo atahudhuria kwenye hii safari, na ameomba kuwa na maongezi na members wa Arusha, na hata kujibu maswali mbalimbali kuhusu Jf na mengineyo.
Tarehe imebadilishwa(kwa convinience ya Melo na wanaJF wengine toka Dar, imekuwa 27/12/2010, badala ya 23/12.

UPDATE 2:
Kutakuwa na kikao cha Maandalizi Siku ya Jumanne, tarehe 14/12/2010, saa 11.00 kamili jioni...tumeweka muda huo kuwawezesha wanaotoka makazini waweze kuhudhuria.
Venue itatolewa kwa wale waliowasilisha namba zao kwa pioneers wa mpango huu, hivyo jitahidi kutuma namba yako kwenye namba iliyokuPM kwaajili ya suala hili.

UPDATE 3
Jana (14/12/2010)tulifanikiwa kuanzisha kikao(pilot-meeting), ambacho kilifanikiwa sana..Kwa ujumla ni kwamba tulitengeneza skeleton yote ya safari nzima, na matukio ya baada ya safari.
Tume'schedule kikao kingine kufanyika IJUMAA,17/12/2010, SAME VENUE, SAME TIME(0500PM)....
WITO WANGU KWA WALE AMBAO WAMEKOSA KIKAO CHA MWANZO, NAWAOMBA MSIKOSE KIKAO KIJACHO, ni muhimu sana, na ni burudani!
Baada ya kikao hicho cha Ijumaa tutatoa taarifa rasmi na FINAL kwa Umma wa JF juu ya taratibu za ushiriki(Mkono mtupu haurambwi).

Aksanteni tena.[/QUOTE]

Ndg Paka Jimy nitajitahidi vile vile na mimi niwepo ili tufahamiane. Aksante tena saana, kwa mpango huu kabambe.
 
hao wa dar tunataka tuwaonyeshe mfano.......kwa makisio ya harakaharaka .......tumeshawafunika mbayaaa

Waambie mama ngoja nakuja maana leo kuanzia mida ya saa nane nlikuwa na msala wa kufa mtu nitaurusha nikitulia
 
Back
Top Bottom