Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
UUUUWIIII natamani kuwepo ndani ya jiji tarehe hiyo, kwetu ni pale shiri matunda, lakini huku nilipo bado viwanja vya ndege vimefungwa sababu ya barafu, sidhani kama wanaweza kufungua kabla ya muda huo, lakini hata kama sitakuwa na nyie kimwili nitakuwa na njie kiroho, "i wish you all the best"
Amejiunga humu. Au keshaanza kuhisi harufu mazee!Mi kwa hali hii naona nije full package kabisa na mtu wangu......:embarrassed:
ijumaa tutakuwepo mkuu nimeshamwambia na wenzangu tunaofahamiana hapa arusha, nii wazo jema saaana kufahamiana
Pj tutafanya mchujo wa awali nikisaidiwa nawe mwenyekiti wangu halafu wakibaki wawili tutarusha shilingi ila kwa wale wasiowajua pole zao labda nimwage sifa zao chache zinazo fanana ni wadada waelewa, wacheshi, wastaarabu, wana upendo kwa wote, elimu nayo sii haba, wanajali Preta alinidrop home mengine offline.
Chelewa chelewa hiyo mkuu...utakuta mwana ashatwaliwa!Derimto usinifanye niwashe kibajaji changu nije A town tarehe 17. Yaani mate yandondoka. Angalieni msiharibu mipango. Man I cant wait that date!
Be blessed!Arusha team, you just rock !!
Hongera saana PJ, Preta and the rest of the team kwa kuibua jambo jema sana. Nawatakia mafanikio ya hali ya juu.
Next time niko pande za huko..... nitawajulisheni.
Merry chrismas!
Nina mashaka sana na upako alionao sr.Magdalena, maana jumapili hii ulimtuma kwenye jumuia ndogondogo ya Mt. Yusufu wa Arimataya, akashindwa kusalisha sala ya Malaika wa Bwana'!Aaah... si unajua hawa vijana wa siku hizi wanasahau sana... wasamehe lakini, hakijaharibika kitu
Nikishindwa kabisa, nitamwambia St. RR au Kimey ampitie Sr. Magdalena aje kuniwakilisha
Chelewa chelewa hiyo mkuu...utakuta mwana ashatwaliwa!
Hiyo bajaj iwekee injini ya Volkswagen, ndio huenda ukawahi kabla hawajaisha!
Mimi huku jamii kuna vituko sana. Malaika wa Bwana inasaliwaje mkuu! Big up brotherNina mashaka sana na upako alionao sr.Magdalena, maana jumapili hii ulimtuma kwenye jumuia ndogondogo ya Mt. Yusufu wa Arimataya, akashindwa kusalisha sala ya Malaika wa Bwana'!
Kweli kikulacho kiguoni mwako, mwenyekiti kaaumua kutu kuharibu....Hii ni optional zaidi..unaweza fanya hivyo au waweza pata kampani hukuhuku. shida ni kwamba hao wanamgombania WL kwasababu mume wake ni MZUNGU, na wanadhani watapata URITHI huyo mzungu akipatwa na lolote!!
Tuko pamoja kaka ila niko safari kwa sasa. sasa hiyo tarehe 27/12/2010 kikao ni wapi?
naomba namakubaliano yote ya vikao tupate maazimio yetu.
Wana-JF wa Arusha,
Wababa :Enda-Subhai!
Wamama :Endakwenya!
Wote :Subhati Ngerai, habari-ya-Ngaji?..Engai Engoitoi!...poleni sana!
Wapendwa,
Nia yangu si ubaguzi wa Makabila au maeneo, lakini kama mjuavyo, Maasai ndio mila/kabila PEKEE linalojaribu kushindana na kasi ya mabadiliko yaliyoasisiwa na ujio wa wageni nchini!
Nia ya post hii ni kuwajulisha wana-JF wa Arusha na maeneo ya jirani kwamba kuelekea mwisho wa mwaka 2010 tuna Mpango Kabambe wa kuasisi mijumuiko ya kijamii, ambapo kwa kufanya hivyo tutakuwa tunatekeleza kwa vitendo upiganiaji haki wetu, ambao kwa bahati mbaya umekuwa kimabandiko-zaidi kuliko uhalisia..Charity begins home...na tuanze sisi wenyewe kuonyesha kwamba mambo haya yanaweza kubadilishwa na kutendewa kazi ya kuonekana kwa macho...lets go substantial!
Jana (9/12/2010-Uhuru wa Tanganyika) wana-JF kama 5 wa hapa Arusha, tukiwa na m-JF mgeni toka Dar tulikutana mahali kwaajili ya kufahamiana na kubadilishana mawazo, tukagundua kwamba ni jambo jema sana kukaa pamoja na kuongea, na hatimaye tukaona umuhimu wa kufanya kitu cha kirafiki.
Tuliazimia kuwa tu'organize safari ya kutembelea mbuga yoyote ya wanyama iliyoko pande za huku kama ambavyo tutakubaliana, kabla ya Krismas, yaani kati ya tarehe 15-23/12/2010...
Tumegundua kuwa Arusha kuna members wengi sana(huenda kuliko Dar:grouphug🙂...!
Kwa members wote mtakaokuwa interested, tafadhali aidha onyesheni kwenye bandiko hili, au nitumieni PM, ili pamoja na mengine tufanye kikao cha awali cha logistics.
NB:
Members wa nchi nzima mtakaokuwa Arusha/Moshi kwaajili ya X-MAS au LIKIZO au vyovyote mnakaribishwa sana ili tuungane pamoja!
Ngongo.. Rutashubanyuma, na wengineo, tunahitaji sana inputs zenu!
UPDATE 1:
Mkuu Maxence Melo atahudhuria kwenye hii safari, na ameomba kuwa na maongezi na members wa Arusha, na hata kujibu maswali mbalimbali kuhusu Jf na mengineyo.
Tarehe imebadilishwa(kwa convinience ya Melo na wanaJF wengine toka Dar, imekuwa 27/12/2010, badala ya 23/12.
hao wa dar tunataka tuwaonyeshe mfano.......kwa makisio ya harakaharaka .......tumeshawafunika mbayaaa