isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
JF Battle of the day! Hanscana vs Dr. Kenny.
Hanscana (Hanscana Brand)
Amesimamia ama kutengeneza videos za muziki 100+ baadhi ya kazi hizo ni "Iokote" Hanstone Ft. Maua Sama, "Turn Up" Country Boy Ft. Mwana FA, "Happy Birthday" Harmonize, "Fresh" Fid Q Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny na nyingine nyingi.
Pia ameanda matangazo ya biashara (Commercials) kama Coca-Cola na Vodacom.
CONS: Utumiaji wa rangi mbalimbali, Brightness na Contrast ya kiwango kukubwa inayopelekea macho kuuma/kuwasha, kichwa kuwanga na asili ya watu na vitu kupoteza uhalisia.
Dr. Kenny (Zoom Production)
Short movie & video director huyu wengi tumemfahamu kupitia "Sikomi" Diamond Platnumz kisha "Hodari" Mbosso, "Picha Yake" Mbosso, "Kwangwaru" Harmonize Ft. Diamond Platnumz (2018 most viewed music video in Africa) na nyingine nyingi.
Pia ameanda (Commercials) Diamond Karanga nk.
CONS: Baadhi ya videos zake ametumia Sharpen code kwa kiasi kikubwa inayopelekea kwa wakati mwingine video/s kupoteza uhalisia.
Tunafahamu kuwa wote ni bora. Lakini nani bora zaidi kwako na kwa vigezo vipi?
Note: (JF Battle of the day! ni mada mahsusi kwa wana JamiiForums, ni marufuku kutumia ama kunakili pasipo idhini ya JamiiForums, Mtoa mada au Credit give out. (Online TV, YouTubers na Bloggers) tunawaangalia.
All rights reserved! ©JamiiForums2019
Hanscana (Hanscana Brand)
Amesimamia ama kutengeneza videos za muziki 100+ baadhi ya kazi hizo ni "Iokote" Hanstone Ft. Maua Sama, "Turn Up" Country Boy Ft. Mwana FA, "Happy Birthday" Harmonize, "Fresh" Fid Q Ft. Diamond Platnumz & Rayvanny na nyingine nyingi.
Pia ameanda matangazo ya biashara (Commercials) kama Coca-Cola na Vodacom.
CONS: Utumiaji wa rangi mbalimbali, Brightness na Contrast ya kiwango kukubwa inayopelekea macho kuuma/kuwasha, kichwa kuwanga na asili ya watu na vitu kupoteza uhalisia.
Dr. Kenny (Zoom Production)
Short movie & video director huyu wengi tumemfahamu kupitia "Sikomi" Diamond Platnumz kisha "Hodari" Mbosso, "Picha Yake" Mbosso, "Kwangwaru" Harmonize Ft. Diamond Platnumz (2018 most viewed music video in Africa) na nyingine nyingi.
Pia ameanda (Commercials) Diamond Karanga nk.
CONS: Baadhi ya videos zake ametumia Sharpen code kwa kiasi kikubwa inayopelekea kwa wakati mwingine video/s kupoteza uhalisia.
Tunafahamu kuwa wote ni bora. Lakini nani bora zaidi kwako na kwa vigezo vipi?
Note: (JF Battle of the day! ni mada mahsusi kwa wana JamiiForums, ni marufuku kutumia ama kunakili pasipo idhini ya JamiiForums, Mtoa mada au Credit give out. (Online TV, YouTubers na Bloggers) tunawaangalia.
All rights reserved! ©JamiiForums2019